Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto asema walimu kutengewa asilimia 20 ya nyumba za gharama nafuu

  • | KBC Video
    60 views
    Duration: 3:56
    Rais Williama Ruto ametangaza kuwa, walimu watategewa asilimia 20 ya nyumba za bei nafuu kwa kuzingatia mchango kwa mpango huo. Wakati wa kikao na walimu katika ikuku ya Nairobi, Rais alifichua kuwa, walimu huchangia asilimia 13 ya ada ya nyumba hizo, kiasi ambacho ni sawa na shilingi milioni 900 kwa mwezi, hivyo basi wanapaswa kunufaika kwa mradi huo. Na kama mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anavyotujuza, Ruto ameagiza kustishwa kwa uhamisho walimu Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive