- 734 views
Rais William Ruto amewashutumu viongozi wa upinzani akiwalaumu kwa kukataa kuweka kando maslahi binafsi ya kisiasa ili kuijenga kenya iliyo na umoja. Ruto alitoa kauli hii wakati wa ibada ya mazishi ya seneta wa Baringo, William Cheptumo, ambapo viongozi wa kisiasa kutoka vyama mbalimbali walikuwa wamehudhuria. Alisisitiza kuwa hana nia ya kuendeleza migogoro ya kisiasa isiyo na mwisho akiwataka viongozi kuelekeza nguvu zao katika kujenga umoja wa taifa badala ya maslahi ya kibinafsi.
Rais Ruto awashutumu viongozi wa upinzani akiwalaumu kwa kukataa kuweka kando maslahi binafsi
- 23 Apr 2025 - Several world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is likely to also draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Prince William will represent Britain's royal family at the funeral of Pope Francis at the Vatican on Saturday, Kensington Palace said Tuesday.
- 23 Apr 2025 - Shilling's rally set for dividends season dollar demand test
- 23 Apr 2025 - MPs launch probe into kidney trade claims
- 23 Apr 2025 - The elusive dream: Is the world ready for a Pope from 'fast rising' Africa?
- 23 Apr 2025 - Minty business: Local farmer mints cash from fragrant crop
- 23 Apr 2025 - Orengo speaks language of integrity in a betrayed nation
- 23 Apr 2025 - ARA seeks to freeze assets linked to Canadian tycoon
- 23 Apr 2025 - Nepal's digital finance and lessons from our mobile money revolution
- 23 Apr 2025 - Papal dais: A lasting tribute to Pope Francis