- 2,746 viewsRais wa Marekani Donald Trump ameungana na taifa katika kumbukumbu ya Mwezi wa Historia ya Watu Weusi kwa kuandaa hafla White House akiwa na mcheza golf maarufu Tiger Woods. Wakati wa hafla hiyo Alhamisi, Trump alitoa hotuba ambapo alipongeza “vizazi vya watu Weusi, mabingwa, wapiganaji na wazalendo, ambao wamekuwa na jukumu kubwa katika kuinyanyua historia ya taifa hili na kutangaza kuweka bustani yenye sanamu za watu weusi kama vile Harriet Tubman, Rosa Parks, Aretha Franklin, Coretta Scott King. “Tutatengeneza baadhi ya kazi nzuri sana za sanaa katika mfano wa sanamu ya wanaume kama Frederick Douglass, Booker T Washington, Jackie Robinson … Martin Luther King Jr., Muhammad Ali … na marehemu Kobe Bryant,” Trump alisema. _ AP #trump #blackhistorymonth #voa
Rais Trump ajiandaa kuwaenzi kizazi cha watu weusi mabingwa
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 2 Apr 2025 - A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
- 2 Apr 2025 - Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.
- 2 Apr 2025 - UON has been faced with a leadership crisis and financial challenges that have threatened to cripple its operations.
- 2 Apr 2025 - Four suspects are set to take plea Wednesday at the Kibera Law Courts in Nairobi, in connection with the death of Lucy Wambui Kananu.
- - Manslaughter Archives
- - National Police Service Commission (NPSC) Archives
- - Police Officers Archives
- 2 Apr 2025 - South Sudanese government denies Odinga's claims that First Vice President Riek Machar's wife was also under house arrest.
- 2 Apr 2025 - A private developer obtained the land’s title deed in February.
- 2 Apr 2025 - Ruto fails to keep Judiciary budget promise