- 229 viewsRais wa Marekani Donald Trump ameungana na taifa katika kumbukumbu ya Mwezi wa Historia ya Watu Weusi kwa kuandaa hafla White House akiwa na mcheza golf maarufu Tiger Woods. Wakati wa hafla hiyo Alhamisi, Trump alitoa hotuba ambapo alipongeza “vizazi vya watu Weusi, mabingwa, wapiganaji na wazalendo, ambao wamekuwa na jukumu kubwa katika kuinyanyua historia ya taifa hili na kutangaza kuweka bustani yenye sanamu za watu weusi kama vile Harriet Tubman, Rosa Parks, Aretha Franklin, Coretta Scott King. “Tutatengeneza baadhi ya kazi nzuri sana za sanaa katika mfano wa sanamu ya wanaume kama Frederick Douglass, Booker T Washington, Jackie Robinson … Martin Luther King Jr., Muhammad Ali … na marehemu Kobe Bryant,” Trump alisema. _ AP #trump #blackhistorymonth #voa
Rais Trump ajiandaa kuwaenzi kizazi cha watu weusi mabingwa
- - Duniani Leo ››
- 23 Feb 2025 - Since taking office last month, President Donald Trump has upended US foreign policy, making diplomatic overtures towards the Kremlin while demanding Ukraine give up its rare minerals to compensate for the wartime aid it received under Joe Biden.
- 23 Feb 2025 - Several thousand supporters of Bulgaria's ultra-nationalist Revival party scuffled with police on Saturday while trying to storm the building of a European Union mission during a protest against the country's plans to adopt the euro next year.
- 23 Feb 2025 - Flash floods across Botswana have killed seven people including three children and uprooted thousands after days of heavy rains, President Duma Boko said on Saturday.
- 23 Feb 2025 - The church must be accountable to transform our Kenyan society
- 23 Feb 2025 - Troubled Uchumi's creditors to know fate of their billions
- 23 Feb 2025 - Mr Yes man! Why Dr Ruto has the perfect deputy in Kithure Kindiki
- 23 Feb 2025 - Students left in limbo as ruling stalls placement in universities
- 23 Feb 2025 - Pariah state? Diplomatic missteps and their effects
- 23 Feb 2025 - Anxiety, lobbying as PSs reshuffle looms
- 23 Feb 2025 - Why tourism is Kenya's best bet to accelerate economic growth