Rais Trump akutana na Fogel baada ya kuachiliwa huru kutoka Russia
Rais wa Marekani Donald Trump amemkaribisha Mwalimu raia wa Marekani Marc Fogel katika white house jana jumanne usiku baada ya Fogel kuachiliwa huru kutoka Russia ambako amekuwa akizuiliwa tangu Agosti 2021 kwa tuhuma za kuingia Russia na bangi. Fogel amesema kwamba anahisi ana bahati sana duniani.
Ameshukuru rais Trump na wanadiplomasia wa Marekani Pamoja na mawakili kwa kusaidia kuweza kuwa uhuru.
Trump amesema ameshukuru kwamba Russia ilimuachilia huru Fogel. Hata hivyo hajatoa taarifa zaidi kuhusu makubaliano yaliyopelekea Fogel kuachiliwa huru.
Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi wa habari kwamba Marekani ilikuwa imekubali kumuachilia huru raia wa Russia anayezuiliwa katika gereza la Marekani kama sehemu ya makubaliano hayo na kwamba aliyeachiliwa huru atatajwa atakapowasili Russia. - VOA NEWS
#rais #marekani #marcfogel #whitehouse #russia #bangi #voa #voaswahili
12 Feb 2025
- The reports emerged after a small meeting between Youssouf and Mudavadi.
12 Feb 2025
- Local importers received a message announcing possible price hikes.
12 Feb 2025
- Nairobi has been notorious for flooding every time it rains.
13 Feb 2025
- The Ministry of Health is appealing to Kenyans to contribute to the social health insurance scheme to ensure uninterrupted medical services
12 Feb 2025
- Senators allied to Deputy President Rigathi Gachagua have been de-whipped from various lucrative House committees.
12 Feb 2025
- The company that was hired by the family of the late Chief Gerald Odongo, whose burial was disrupted in Matungu, Kakamega County by chaos, is now demanding over Ksh.1.5 million as compensation for the damage to their equipment.
12 Feb 2025
- Prime CS Musalia Mudavadi has asked the African nations to vote for the Kenyan candidate Raila Odinga as AUC Chairperson so as to ensure the fast-tracking of peace and stability of the continent.
12 Feb 2025
- Isaac Gachoki, the butcher who made headlines for mutilating another man's genitals over a Ksh.50 debt, will remain in custody for 13 days while awaiting a probation report to determine if he is eligible for release on bond.
12 Feb 2025
- Two suspected drug traffickers were arrested on Wednesday following a police-led raid operation in the Kombani area of Kwale County, which resulted in the seizure of 12 sacks of bhang.
12 Feb 2025
- Programmes to tackle HIV, polio, mpox and bird flu have been affected by the freeze
12 Feb 2025
- The power interruption will occur between 9am and 5pm in different areas
12 Feb 2025
- In January 2023, Ruto issued a directive for Galana project to move forward under PPP arrangement
12 Feb 2025
- Countytrak Education Performance Index