- 34 views
Kenya inakabiliwa na janga la hali ya hewa kutokana na kuongezeka kwa uchafuzi wa mazingira na kuenea kwa jangwa. Kulingana na takwimu za kwanza za mazingira na afisi ya kitaifa ya takwimu ya Kenya ni asilimia 19 pekee ya ardhi ya Kenya iliyoainishwa kama iliyolindwa mwaka wa 2023 kutoka asilimia 35 mwaka wa 1980. Ripoti hiyo inazidi kusema kuwa huenda Kenya ikakabiliwa na tatizo kubwa la maji kufikia mwaka wa 2050 kutokana na uchimbaji mwingi wa maji ya ardhini katika Kaunti za Nairobi, Kiambu na Nakuru. Jael Opicho ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Ripoti Kuhusu Mazingira: Asilimia 19 ya ardhi Kenya ndio inalindwa na kutunzwa
- 23 Mar 2025 - Activists have called for press freedom to be protected in Indonesia and demanded an investigation after a magazine critical of the government was sent a pig's head and decapitated rats.
- 23 Mar 2025 - Kenya has restructured its petroleum exploration blocks to align with global best practices and legal frameworks, Energy and Petroleum Cabinet Secretary Opiyo Wandayi has told stakeholders.
- - Ruto calls for unity to safeguard Kenya's future
- 23 Mar 2025 - President William Ruto's tray of disregarded promises continues to weigh heavy after he onboarded more advisors to his administration amid austerity measures.
- 23 Mar 2025 - He added that the construction of the initial 500 classrooms has already begun and is progressing well.
- 23 Mar 2025 - The accident involved a delegation from West Pokot county government.
- 23 Mar 2025 - Another four injured amid fears of more attacks, police say
- 23 Mar 2025 - The unfolding power struggle is reshaping alliances, leaving many leaders uncertain ahead of 2027 polls
- 23 Mar 2025 - Njuri Ncheke, the Council of Elders for the Meru has welcomed the nomination of lawyer Linda Kiome as the new Deputy Governor for Meru County.
- 23 Mar 2025 - The ultimate test of his leadership will be whether these pledges translate into visible, lasting change