Russia iliionya Marekani kabla ya kufyatua kombora la Oreshnik
Msemaji wa Kremlin amesema leo Ijumaa kwamba Moscow iliipelekea Marekani onyo dakika 30 kabla ya kufyatua kombora jipya la masafa ya kati huko Ukraine.
Kremlin iliruhusu kufyatuliwa kombora hilo jipya lililopewa jina la Oreshnik dhidi ya mji ulio kati kati mwa Ukraine wa Dnipro jana alhamisi.
Rais Putin amesema kwenye hotuba yake kwamba shambulio hilo limefanyika kujibu hatua ya Kyiv wiki hii kutumia makombora ya Marekani na Uingereza yenye uwezo wa kufika mbali ndani ya Russia.
Putin alionya kwamba mfumo wa Marekani wa ulinzi wa anga hautaweza kuzuia kombora jipya ambalo anasema lina safiri kwa kasi ya mara 10 zaidi ya sauti.
Hii leo pia msemaji Peskov aliulaumu utawala wa hivi sasa wa Marekani kwa kuzorotesha ugomvi wa Ukraine na kusema kwamba hakuna mawasiliano kati ya Moscow na Washington juu ya suala hili. - AP
Wakati huo huo Waziri wa ulinzi wa Ukraine Rustem Umerov amesema serikali yake ilikuwa inaongeza uwezo wa ulinzi wa anga wakati ikijibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu ya Russia katika mji wa ukarine wa Dnipro.
Umerov ameyasema hayo leo katika maelezo yake kwa vyombo vya habari akiwa na mwenzake wa Sweden Pal Johnson mjini Stockholm.
Jonson ameongeza kuwa shambulizi la Russia haliwezi kuikatisha tamaa uungaji mkono wa serikali yake kwa Ukraine.
Alhamisi Russia ilifyatua makombora ya masafa marefu kujibu hatua ya Marekani na Uingereza kuiruhusu Kyiv kushambulia ndani ya ardhi ya Russia na silaha zake za Magharibi za ubora wa juu.
- AP and Reuters
#voaswahili #afrika #ukraine #russia #kombora #oreshnik #dnipro #moscow #russia
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Obiri's date with history is on Monday, April 21.
19 Apr 2025
- The floods have since resulted in the displacement of more than 200 families.
19 Apr 2025
- Donald Trump's simmering discontent with the US Federal Reserve boiled over this week, with the president threatening to take the unprecedented step of ousting the head of the fiercely independent central bank.
19 Apr 2025
- Leaders in the Kenya Kwanza government have rallied the Maasai community in Kajiado to reject former Deputy President Rigathi Gachagua’s opposition politics, accusing him of peddling untruths.
19 Apr 2025
- Four people have been confirmed dead following a tragic road accident in the early hours of Saturday morning in Ruiru, Kiambu County.
19 Apr 2025
- U.S. strikes on Yemen's Ras Isa fuel terminal on the Red Sea coast have killed at least 74 people in the deadliest attack since the U.S. started its bombing campaign against the Houthis last year, according to the Houthi-run health ministry.
19 Apr 2025
- Amin's comments followed days after the former DP raised alarm over alleged assassination attempts.
19 Apr 2025
- Police are looking for another suspect escaped unhurt.
19 Apr 2025
- Tanzanian opposition leaders are now demanding access to detained party chairman Tundu Lissu, saying it is his constitutional right.
19 Apr 2025
- The seminar features a comprehensive curriculum designed to strengthen participants’ understanding of AI and its integration into media.
19 Apr 2025
- Machakos Governor Wavinya Ndeti on Friday called on the Christian community to reflect on the meaning of Easter and to pray for the country during this sacred period.
19 Apr 2025
- On the hands