- 93 views
Rais William Ruto amesema Kenya imepiga hatua muhimu za maendeleo katika kipindi cha nusu ya kwanza ya utawala wa Kenya Kwanza. Rais Ruto alisema kwamba serikali imefanikiwa kuanzisha miradi yake, ikanakili ukuaji katika sekta ya kilimo na kuimarisha uchumi, akiahidi mageuzi zaidi katika siku za usoni. Akizungumza alipoungana na waumini wa kanisa la AIC Fellowship Annex, Eldoret, Uasin Gishu kwa ajili ya ibada ya Jumapili, Rais Ruto aliwahakikishia wakenya kwamba taifa hili liko kwenye mwelekeo unaofaa. Rais Ruto pia alielezea ufanisi wa maeneo ya kiuchumi, akikariri kwamba ukuaji wa uchumi umewezesha kutengwa kwa raslimali zaidi kwa ajili ya ujenzi wa miundomsingi. Aidha Rais Ruto alisisitiza kwamba maendeleo na umoja vinaambatana, kwani taifa lenye umoja huafikia ufanisi kwa urahisi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ruto: Kuna ufanisi katika nusu ya kwanza ya hatamu yake
- 10 Mar 2025 - Controller of Budget Margaret Nyakang’o has exposed how some counties are spending millions without seeking approval from her office, while others deliberately overshoot their spending beyond the approved limit. This is even as some counties seek funds…
- 10 Mar 2025 - Speaking at the ACK Holy Trinity Church in Kitengela, Kajiado County, Gachagua alleged that the Cabinet had already approved the sale, despite objections from the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA).
- 10 Mar 2025 - The youth insist the funds, sourced from taxpayers, should be redirected to address pressing national issues such as unemployment and struggling public institutions.
- 10 Mar 2025 - At the core of the agreement is the implementation of the NADCO report, which had previously been shelved despite its far-reaching recommendations. The report advocates for inclusivity, good governance, and the protection of devolution, among other…
- 10 Mar 2025 - Who will pack and leave at the end of regional Term One games?
- 10 Mar 2025 - The Ruto-Raila relationship blossomed during the 2007 election campaigns and in the Grand Coalition Government.
- 10 Mar 2025 - Todonyang residents live in constant fear of fresh attacks from Ethiopian militias.Key infrastructure, including schools and health facilities, lies in ruins.
- 9 Mar 2025 - Inside a packed acoustic hall at Workstyle Africa, 1st Park Avenue in Nairobi, over 300 women gathered on March 8, 2025, for Binance’s International Women’s Day (IWD) event
- 9 Mar 2025 - A fragile power-sharing agreement between President Salva Kiir and First Vice President Riek Machar has been threatened by recent clashes between their allied forces in the northeastern Upper Nile State.
- 9 Mar 2025 - Nyakang'o further criticized county governments for the late submission of financial and non-financial reports, as well as non-adherence to the Exchequer Workplans they submitted to her office. This often leads to delays in the authorization of…