Seneta wa Australia amewashangaza wanasiasa wenzake kwa kutoa samaki aliyekufa bungeni. Sarah Hanson-Young kutoka chama cha Greens alitumia samaki huyo kama ishara ya kupinga mswada uliokuwa ukijadiliwa.
-
Waziri Mkuu Anthony Albanese wa chama cha Labor anasema mswada huo umelenga kulinda ajira katika sekta ya ufugaji wa samaki lakini pia ungelinda mazingira.
-
Wanammazingira wanasema kuwa sekta hiyo inahatarisha spishi za samaki wa asili.
-
-
#bbcswahili #mazingira #samaki #bungee #australia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.