- 17 views
Kamati ya bunge la kitaifa imependekeza kuondolewa kwa ushuru uliopendekezwa wa mkate, mafuta ya kupikia, magari, ubadilishanaji fedha na ushuru wa kuzuia uchafuzi wa mazingira. Hii inafuatia shinikizo za wananchi waliolalamikia baadhi ya vipengee vya mswada wa fedha wa mwaka 2024. Kwenye kikao na wanahabari, kamati hiyo ilisema imetilia maanani maoni ya umma na hivyo kufanyia marekebisho mswada huo kwa lengo la kuwapunguzia Wakenya mzigo wa ushuru. Tangazo hilo lilifuatia mkutano wa wabunge wa mrengo wa Kenya Kwanza katika Ikulu ya rais jijini Nairobi uliohudhuriwa na rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua. Ripota wetu Abdiaziz Hashim anatufafanulia kuhusu athari za mapendekezo ya kamati hiyo huku wataalamu wa masuala ya kiuchumi wakitahadharisha kwamba hazina kuu inakumbwa na kibarua kigumu cha kuziba nakisi ya bajeti endapo bunge litaidhinisha marekebisho hayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali hatimaye yaondoa mapendekezo tata ya ushuru
- 26 Jun 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua on Wednesday demanded that National Intelligence Service (NIS) Director General Noordin Haji step down from his position to pave the way for a more competent Director General.
- 26 Jun 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua implored the Kenyan youth to withdraw the call to hold protests scheduled for Thursday, June 27.
- » Gachagua demands NIS Director Haji's resignation over intelligence failures amid Finance Bill protests26 Jun 2024 - Deputy President William Ruto has called for the resignation of National Intelligence Service (NIS) Director General Noordin Haji, faulting him for overseeing a decline in the agency's effectiveness under his stewardship.
- 26 Jun 2024 - In a press briefing, Ruto conceded to Kenyans' will and agreed to withdraw the bill in its entirety, confirming a unanimous agreement with the lawmakers present at State House.
- 26 Jun 2024 - Footage on local media showed people lying on the ground.
- 26 Jun 2024 - As part of his sentence, he was also ordered to pay a fine of $8m (£6.3m).
- 26 Jun 2024 - Biden described the pardon as "righting an historic wrong".
- 26 Jun 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has appealed to Secondary School Principals to be patient with the Government on the release of capitation funds saying the government is committed to releasing the resources to facilitate smooth running of operations.…
- 26 Jun 2024 - Human rights groups claim 23 killed during Tuesday demos
- 26 Jun 2024 - Parliament's golden mace was not stolen, Wetang'ula says