- 228 views
Serikali imehimizwa kuweka vifaa vya kisasa vya kupima na kutambua ugonjwa wa saratani katika hospitali za umma ili kuwezesha madaktari kutambua ugonjwa huo kabla ya kuenea sana. Ndio wito uliotolewa na familia ya mwanahabari mkongwe zaidi katika kaunti ya busia john ojanji ambaye alifariki akipokea matibabu ya saratani ya tezi dume katika hospitali moja kaunti ya siaya.marehemu alikuwa mtangazaji wa runinga ya western nyota na radio ya bulala fm na alipatikana na ugonjwa huo mwaka mmoja uliopita .familia yake imesema kuwa serikali za kaunti zimeonekana kulemewa na utoaji wa huduma stahiki za matibabu ya kitaalamu, hali inayochangia maafa zaidi.
Mwanahabari mashuhuri kaunti ya Busia afariki kutokana na ugonjwa wa saratani
- 25 Apr 2025 - The government has backtracked on its plans to make mathematics in senior school optional. Basic Education PS Julius Bitok yesterday clarified that the subject will remain compulsory up to senior secondary. He announced that the government has formed a…
- 25 Apr 2025 - A simple, marble tomb nestled in a niche of a Roman basilica beloved by Pope Francis will mark the pontiff's last resting place, the Vatican said on Thursday, releasing an image of the project.
- 25 Apr 2025 - Jubilee Life Insurance posts Sh2.1b net profit
- 25 Apr 2025 - As mid-term beckons, MPigs grunt it's their turn to fill up tanks
- 25 Apr 2025 - Murder most foul: Family wiped out in 'revenge' arson
- 25 Apr 2025 - Diplomatic goof: Ruto's remarks risk deepening Kenya's isolation
- 25 Apr 2025 - Kenyan businesses urged to tap into lucrative Chinese market
- 25 Apr 2025 - Uplift marginalised regions, legislators challenge President
- 25 Apr 2025 - MPs call for end to Minet teachers' medical scheme
- 25 Apr 2025 - Report proposes revised schools funding model