- 34,567 views
Jioni hii ya leo, mwanamke mkenya anatarajiwa kunyongwa nchini Vietnam baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ulanguzi wa dawa za kulevya. Hata hivyo, hatma yake inasubiri maafikio ya serikali ya Kenya na taifa hilo baada ya katibu wa mashauri ya kigeni Korir Sing'oei kusema imeomba hukumu dhidi ya Margaret Nduta kusitishwa. Na kama Laura Otieno anavyoarifu, serikali imetaja kesi dhidi ya Nduta kuwa ngumu
Serikali ya Kenya yaomba Vietnam kusitisha kunyongwa kwa Margaret Nduta
- - Local News Roundup ››
- 17 Mar 2025 - SHA Sh11.4b payouts spark fears of corruption and ghost facilities
- 17 Mar 2025 - The true cost of skin bleaching on health and identity
- 17 Mar 2025 - How pension regulator's new proposals could boost retirees' take home
- 17 Mar 2025 - St Kizito's night of horror won't erase
- 17 Mar 2025 - Silent pain of sickle cell anemia
- 17 Mar 2025 - Regina Kimanthi: Diagnosed with arthritis at 38, now battling diabetes at 48
- 17 Mar 2025 - The program is a key pillar of President William Ruto’s manifesto, aimed at ensuring equitable, quality, and affordable healthcare for all Kenyans.
- 17 Mar 2025 - Speaking in Uasin Gishu County, the leaders criticized former Deputy President Rigathi Gachagua for his opposition to the Social Health Authority (SHA), despite supporting it while in government.
- 17 Mar 2025 - Already facing backlash over tax hikes, state is asking Kenyans to shoulder an additional financial burden through the plan that would see private entities manage a dedicated fund for toll revenue.
- 17 Mar 2025 - The bizarre incident caused a stir in the village, prompting his family to rush him to the hospital, where he was admitted to the Intensive Care Unit (ICU).