- 34,567 views
Jioni hii ya leo, mwanamke mkenya anatarajiwa kunyongwa nchini Vietnam baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ulanguzi wa dawa za kulevya. Hata hivyo, hatma yake inasubiri maafikio ya serikali ya Kenya na taifa hilo baada ya katibu wa mashauri ya kigeni Korir Sing'oei kusema imeomba hukumu dhidi ya Margaret Nduta kusitishwa. Na kama Laura Otieno anavyoarifu, serikali imetaja kesi dhidi ya Nduta kuwa ngumu
Serikali ya Kenya yaomba Vietnam kusitisha kunyongwa kwa Margaret Nduta
- - Duniani Leo ››
- 17 Mar 2025 - The financiers had backed a lawmaker to take over governorship in the upcoming polls.
- 17 Mar 2025 - The Kenya Railway MD has risen through ranks from technical, operations to leadership.
- 17 Mar 2025 - Shareholders anticipate higher returns as impressive financial results released.
- 17 Mar 2025 - It is four years since it happened, with mother sickened by ordeal but clinging to hope.
- 17 Mar 2025 - Tensions between South African and the US have been on a downward spiral since US President Donald Trump came into office.
- 17 Mar 2025 - US envoy Steve Witkoff met with Putin on Thursday in Moscow.
- 17 Mar 2025 - The government is planning to use part of the controversial Road Maintenance Levy Fund (RMLF) as security to secure funding for road projects through a bond, a Senate committee has revealed. The Senate’s Roads, Transportation, and Housing Committee,…
- 17 Mar 2025 - National Biosafety Authority (NBA) has assured Kenyans over the safety of genetically modified organisms (GMOs) in the country saying stringent measures are in place to deter the importation of those that are harmful to human health. NBA chief executive…
- 17 Mar 2025 - Regina Kimanthi: Diagnosed with arthritis at 38, now battling diabetes at 48
- 17 Mar 2025 - SHA Sh11.4b payouts spark fears of corruption and ghost facilities