- 575 views
Waziri wa fedha John Mbadi amependekeza hatua za kudhibiti matumizi ya fedha za serikali itakayowadhibiti maafisa wa serikali ya kitaifa na ile ya kaunti kuhusiana na idadi ya magari na aina ya magari watakayotumia. Mapendekezo hayo yaliyo katika sera ya uchukuzi ya serikali ya mwaka 2024, yananuiwa kupunguza matumizi ya fedha za serikali. Hapa ni Abdiaziz Hashim akielezea kwa kina, serikali imeratibu bajeti ya shilingi bilioni 12.2 kwa ununuzi wa magari mapya katika mwaka huu wa kifedha.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali ya kitaifa na za kaunti kupunguza magari ya matumizi
- 26 Oct 2024 - Detectives investigating the gruesome murders of two women and a young girl in Eastleigh have recorded statements from four individuals.
- 26 Oct 2024 - The grim face of unemployment in the country became clearer as thousands continued to flock to the KICC for 3,000 job opportunities abroad.
- 26 Oct 2024 - Former President Uhuru Kenyatta has appealed to Kenyans to remain peaceful and united for the nation to move forward..
- » Presidential term-extension Bill: Senate to table report on public participation as ODM, Western region oppose26 Oct 2024 - The Senate Justice and Legal Affairs Committee is expected to table a report on public participation regarding the proposed extension of term limits for the president and other elected leaders through a bill tabled by Nandi Senator Samson Cherargei.
- 26 Oct 2024 - Drama erupts as two families clash over the burial of mother
- 26 Oct 2024 - Two million smartphones assembled in Kenya, PS says
- 26 Oct 2024 - Willis Ayieko mourned as family awaits autopsy
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth