- 12 views
Vuguvugu la Bunge la Mwananchi limewasilisha ombi bungeni kupinga uteuzi wa David Kimeu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa halmashauri ya Ushindani humu nchini. Kwenye ombi hilo, kundi hilo linasema Kimeu tayari ametimiza miaka 60 na hivyo anapaswa kustaafu kutoka sekta ya utumishi wa umma.Akiongea na wanahabari baada ya kuwasilisha ombi hilo, rais wa vuguvugu la Bunge la Mwananchi, Frank Owino alisema serikali ina wajibu wa kuwapa kipaumbele vijana wakati wanapotoa fursa za ajira badala ya kuwarejesha maafisa ambao muda wao wa kuhudumu umekamilika, hatua ambayo inakinzana na sera ya serikali kuhusu uajiri.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yahimizwa kuwapa vijana nafasi za kazi
- - Matukio ya wiki ››
- - Jedwali la EPL ››
- 25 Apr 2025 - One person has died and two others are currently admitted at the Narok County Referral Hospital following a suspected case of chemical poisoning linked to herbicide use on a farm in Katakala area, Narok South Sub-County.
- 25 Apr 2025 - Vietnam Gas President Doanh Chau has taken a rather bold swipe at African leadership - and especially Kenya, accusing them of lacking long-term vision and a serious execution culture that continues to stall the continent’s development.
- 25 Apr 2025 - The Advocate Disciplinary Tribunal has found former Law Society of Kenya (LSK) president Nelson Havi guilty of professional misconduct.
- 25 Apr 2025 - The prime suspect in the horrific arson attack that killed nine family members on Tuesday night in Sigomere, Ugunja Sub County, Siaya County, is set to be transferred back to Ugunja, where the crime occurred.
- 25 Apr 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has urged the Kahawa Law Courts to convict and sentence two individuals linked to the 2019 Dusit D2 terror attack.
- 25 Apr 2025 - Members of Parliament are now demanding the full disclosure of Kenya’s public debt, comprehensive audit reports, and internal measures to curb corruption within the Office of the Auditor General (OAG), as concerns mount over persistent audit backlogs…
- 25 Apr 2025 - They say adhering to the correct date is not merely a constitutional formality but is crucial to upholding rights.
- 25 Apr 2025 - The prime suspect behind a tragic arson attack that claimed nine lives in Sigomere, Upanda village in Ugunja Sub County, Siaya County, has been arrested in Kibra, Nairobi.
- 25 Apr 2025 - The preacher explained why he believed in the ritual.
- - Pope Francis requiem mass at Holy Family Basilica