- 116 views
Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen amesema serikali inathamini uhuru wa kujieleza na hailengi kumdhibiti au kumzuia yeyote kujieleza. Akizungumza katika Kaunti ya Tana River, Murkomen alisema serikali haikuwahi kuingilia au kuvuruga mchezo wa kuigiza wa ‘Echoes of War’ ambao ulipaswa kuigizwa na wanafunzi wa shule ya wasichana ya Butere siku ya alhamisi wakati wa Tamasha la 63 la Kitaifa la Michezo ya kuigiza na Filamu katika Kaunti ya Nakuru. Waziri alisema kile ambacho serikali inapinga ni wanasiasa wanaotumia shule kutatua tofauti za kisiasa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yatahadharisha dhidi ya siasa shuleni
- 21 Apr 2025 - As an at-times unwitting star on social media, Pope Francis knew how to exploit the internet to preach the gospel, broadening the Church's appeal while modernising its communications.
- 21 Apr 2025 - US Defense Secretary Pete Hegseth fought back Monday -- with White House support -- against another scandal over his reported use of Signal to discuss airstrikes on Yemen, this time with his wife, brother and lawyer.
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will visit Beijing and meet with President Xi Jinping as reciprocal trade tariffs between America and Beijing deepen, and shockwaves in the aftermath of the tariffs rip through the global markets.
- 21 Apr 2025 - Activist Boniface Mwangi says he was violently assaulted and robbed by police officers in Nairobi earlier this month.
- 21 Apr 2025 - Police in Kabarnet, Baringo County, on Monday found the body of a boda boda rider who had been missing since Thursday.
- 21 Apr 2025 - Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
- - Teachers are tired of the promotion mess, says Knut boss Collins Oyuu
- 21 Apr 2025 - Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
- 21 Apr 2025 - In the Vatican, there is shock from those who saw Francis perform his final public duty.
- 21 Apr 2025 - PS Muriuki has urged parents to monitor mobile use to ensure their children are not on gambling sites.