Shabiki wa Timu ya DRC Leopard aeleza furaha yake kwa ushindi dhidi ya Taifa Stars
Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Licha ya kupoteza mashabiki wa Stars wamezungumzia mchezo huo wakiipongeza timu hiyo.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1.
Shabiki wa timu ya DRC Leopard alikuwa na haya ya kusema baada ya ushindi...
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja #mashabiki #uingereza
17 Oct 2024
- Gachagua is expected to take center stage today after the National Assembly made its case.
17 Oct 2024
- Kenya joins 10 other countries including the United Kingdom in the programme.
17 Oct 2024
- The hearing will continue today, when the senate reconvenes at 9:00 AM.
17 Oct 2024
- In his final months in office, President Joe Biden is signaling new willingness to use U.S. military assistance to Israel as both a carrot and a stick to influence its high-stakes confrontation with Iran and Iran-backed militant groups.
17 Oct 2024
- "We were all enjoying ourselves, as we’ve swum here before, but suddenly, our friend Peter Muhia, 27, cried out for help. Despite our efforts, we couldn’t save him," Muchoki recounted.
17 Oct 2024
- Eldoret High Court has been told that the manager of Agnes Tirop, the two-time World 10,000 metre bronze medalist feared for her life months before he murder.
17 Oct 2024
- The Senate will give its verdict at the end of the second day of an impeachment trial against the embattled number two to President William Ruto.
17 Oct 2024
- The seven members of the world's most popular boy band have been on a self-described "hiatus" since 2022 due to their military service, which South Korea requires of all men under 30 due to tensions with the nuclear-armed North.
17 Oct 2024
- The paper published with the Oxford Poverty and Human Development Initiative (OPHI) highlighted that poverty rates were three times higher in countries at war, as 2023 saw the most conflicts around the world since the Second World War.
17 Oct 2024
- EU Commission President Ursula von der Leyen has said the bloc could "draw lessons" from the contested Italian policy of processing migrants offshore in Albania ahead of an EU summit focusing on migration. She made the remarks in a letter to member…
17 Oct 2024
- Russia is seeking to convince BRICS countries to build an alternative platform for international payments that would be immune to Western sanctions when it hosts the group's leaders at a summit next week.
17 Oct 2024
- Gachagua is expected to take center stage today after the National Assembly made its case.
17 Oct 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua's impeachment trial enters its second and final day today.