- 403 viewsMaafisa nchini Palestina wamesema mashambulizi ya anga ya Isreal yameuua watu 16 katikati mwa Ukanda wa Gaza, wakiwemo wanawake watano na watoto wanne. Shambulizi la mapema leo Jumatatu asubuhi limeharibu nyumba katika kambi ya wakimbizi ya Nuseirat iliyojengwa katikati mwa Gaza na kuua takriban watu 10 wakiwemo wanawake wanne na watoto wawili. Katika Hospitali ya Awda ambayo ilipokea miili, imethibitisha idadi hiyo na kusema kuwa watu wengine 13 walijeruhiwa. Taarifa za hospitali zinaonyesha kuwa watu waliokufa ni pamoja na mama mmoja , mtoto na ndugu zake wengine watano. Shambulizi jingine katika nyumba kwenye mji wa Gaza limeuua watu sita akiwemo mwanamke na watoto wawili kwa mujibu wa kikosi cha ulinzi wa raia na wafanyakazi wa afya wanaofanya kazi chini ya serikali ya Hamas inayoongoza. Shambulizi la hivi punde katika mzozo wa miongo kadhaa kati ya Israel na Hamas ulichochewa Oktoba 7 wakati kundi la Palestina la Hamas liliposhambulia Israel, na kuua watu 1,200 na kuchukua mateka wapatao 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israel. Mashambulio yaliyofuata ya Israel dhidi ya eneo linalotawaliwa na Hamas tangu wakati huo yameua zaidi ya Wapalestina 40,000, kwa mujibu wa wizara ya afya ya eneo hilo, huku pia ikiwafukuza karibu watu wote milioni 2.3, na kusababisha baa la njaa na kusababisha madai ya mauaji ya kimbari katika Mahakama ya Dunia ambayo Israel inakanusha. - AP, Reuters #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
SHAMBULIZI LA ISRAEL LAUUA WATU 16 GAZA
- - 🔴 LIVE | TV47Matukio ››
- 19 Sep 2024 - Gisele Pelicot, who was drugged and raped by dozens of men recruited by her husband, on Wednesday called the men standing trial "degenerates" while attempts from some defence lawyers to question her credibility caused outrage in the courtroom.
- 19 Sep 2024 - Volunteers and emergency personnel raced to secure river banks and buildings in Poland and Hungary on Tuesday as flood waters that have wreaked havoc across central Europe began to rise in new areas and the Czech Republic reported another death.
- 19 Sep 2024 - The mass pager attack against Hezbollah in Lebanon has turned the spotlight on Israel's secretive Unit 8200, the Israel Defense Forces' intelligence unit, which a Western security source said was involved in planning the operation.
- 19 Sep 2024 - Twenty-one bodies of the pupils who died in the tragic Hillside Endarasha Academy fire have been positively identified through a DNA matching profile conducted by the government chemist.
- 19 Sep 2024 - The Court of Appeal could on Friday make or break all the efforts by the Ministry of Health in the rollout of the new medical insurance scheme.
- 19 Sep 2024 - How container cash deposits are creating a problem for Kenyan traders
- 19 Sep 2024 - Adani denies claim that it will run JKIA for 30 years
- 19 Sep 2024 - Ford Kenya won't fold, to remain in ruling alliance, party leaders say
- 19 Sep 2024 - MPs probe Moi University's Sh3b bank loan to buy Rivatex
- 19 Sep 2024 - Real estate posts high productivity as challenges hit wholesale, retail sectors