Tangu mwanzoni mwa mwaka huu, kundi la waasi limekuwa likisonga mbele kupitia mashariki mwa DRC, na kutwaa udhibiti wa miji muhimu kama Goma na Bukavu.
Mwandishi wa BBC Orla Guerin alimuuliza Corneille Nangaa, mkuu wa muungano huo unaojumuisha M23, kuhusu ushahidi wa kuungwa mkono na Rwanda na ukiukaji wa haki za binadamu.
#bbcsawhili #DRC #M23
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.