- 622 views“Alikuwa ni malkia wa mpakani. Mara ghafla anasema yeye siyo tena malkia wa mpakani,” alisema. “Kamwe hakujawahi kuwa na mpaka kokote duniani ambao unafurika watu kama mpaka huu.” Harris alipewa jukumu mwezi Machi 2021 kukabiliana na “kiini” cha wahamiaji kutoka Guatemala, Honduras na El Salvador – Amerika ya Kati inayoitwa “Northern Triangle” – lakini haikupewa jina la “border czar” au kupewa jukumu la ulinzi wa mpaka. Kwenye barabara chafu chini ya vilima vyenye vichaka vya Arizona, Donald Trump alitumia ukuta na rundo la vyuma kulinganisha jinsi yeye alivyoudhibiti mpaka huo na hatua za mpinzani wake Mdemokrat, Makamu wa Rais Kamala Harris. Trump aliwaleta wanawake wenye huzuni, mkuu wa polisi wa Kaunti ya Cochise na mkuu wa umoja wa Doria ya Mpakani kupeleka ujumbe wake mzito juu ya ulinzi wa mpaka katika ziara yake Alhamisi, iliyopewa kauli mbiu “Make America Safe Again” (Ifanye Marekani Iwe Salama Tena.) Kabla ya matamshi yake, Trump alianza kwa kukosoa rekodi ya Harris kuhusu uhamiaji na usalama wa mpakani, akimuita “makamu wa rais ovyo” alipokuwa anazunguka na kuzungumza na wakazi wa eneo karibu na uzio wa mpaka. -AP #uselection #harris #trump #voa
Trump akosoa Harris anavyo shughulikia usalama mpakani kati ya Marekani na Mexico
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Kenya Chipu aim to defend Barthes Trophy after perfect start
- 22 Apr 2025 - People's Pope signs off, leaving behind a church changed forever
- 22 Apr 2025 - From social justice to tackling abuse: 12 years of Pope Francis
- 22 Apr 2025 - Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
- 22 Apr 2025 - Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment