Uchaguzi wa rais wa 2024 unatoa ishara ya kuwepo ushindani mkali kati ya wagombea wawili
Fursa mbalimbali zilizowasilishwa na vyama vikuu viwili – Demokratic na Republican – vina uhakika kuwa rais ajaye atakuwa anatokana na chama kimoja wapo kati ya hivyo, kama ilivyokuwa kwa marais wote tangu 1856. Utawala wa mfumo wa vyama viwili unaweza kuonekana ni kitu cha ajabu.
Katiba ya Marekani haielezi chochote kuhusu vyama vya siasa, na George Washington – yeye mwenyewe rais wa kwanza na pekee kuchaguliwa bila ya kuwakilisha chama cha siasa – alitahadharisha dhidi ya vyama katika hotuba yake ya kuliaga taifa. Hii hapa ripoti kamili ikisomwa na mwandishi wa VOA Kennes Bwire...
#uchaguzi #marekani #republikan #demokratiki #independent #voa #voaswahili
15 Oct 2024
- The police officer attached to the Kahawa West Police Station was arrested on Monday.
15 Oct 2024
- The latest update comes days after NTSA directed Kenyans on the collection of digital number plates and logbooks.
15 Oct 2024
- The change comes barely a week after it emerged that UoN had lost its spot as Kenya's top university.
16 Oct 2024
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has distanced himself from allegations that Indian conglomerate Adani Group funded former Prime Minister Raila Odinga’s 2012 presidential campaigns with him (Kalonzo) as the running mate.
16 Oct 2024
- Wiper Leader Kalonzo Musyoka claims the National Assembly is unconstitutional and has no moral authority to instigate an impeachment motion against Deputy President Rigatji Gachagua.
16 Oct 2024
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka now says President William Ruto should have been the first to be impeached, long before the motion to remove his deputy Rigathi Gachagua from office was tabled in Parliament.
16 Oct 2024
- The latest Reuters/Ipsos poll surveyed 938 US adults online, nationwide, including 807 registered voters.
16 Oct 2024
- Life is hard but hustlers have put their ingenuity into use
16 Oct 2024
- Court to rule on Mwangaza's impeachment on November 11
16 Oct 2024
- All systems go for Gachagua's removal at trial chamber
16 Oct 2024
- Gachagua faces Senate as court declines to stop trial
16 Oct 2024
- Lawmakers grill Duale over demolition of homes
16 Oct 2024
- If the Senate upholds his impeachment, DP Rigathi Gachagua's political career is over as he will never hold political office.