Ukraine yakubali kusitisha vita, katika Dira ya Dunia TV
Baada ya saa kadhaa za mazungumzo nchini Saudi Arabia kati ya Ukraine na Marekani, Washington inasema sasa uamuzi uko upande wa Moscow, baada ya Ukraine kusema iko tayari kusitisha mapigano na Urusi kwa siku 30. Maafisa wa Ukraine wanasema msaada wa kijeshi na ushirikiano wa kijasusi kutoka Marekani umeanza kutolewa tena tangu kukubaliana na pendekezo hilo. Rais Trump amesema kwa sasa juhudi zitahamia katika mazungumzo na Urusi.
28 Apr 2025
- The CS was addressing security issues on Monday when violence broke out in Narok.
28 Apr 2025
- The pardons come a day after the Head of State jetted back to the country from the Vatican.
28 Apr 2025
- The traders tried to use a unique tactic to evade the taxman.
29 Apr 2025
- In a circular, Nyakango halted issuance of bursaries to learners by devolved units
29 Apr 2025
- Taskforce to review laws was formed after Shakahola killings.
29 Apr 2025
- NAIROBI, Kenya Apr 29 – Popular radio presenter Edward Carey Kwach has died while undergoing treatment for meningitis, his family announced on Tuesday morning. In a statement released by family spokesperson Michael Okwiri, the Kwach family said Carey…
29 Apr 2025
- The new mosquito species has a unique insecticide resistance profile.
29 Apr 2025
- Police call on public to provide information on prime suspect who remains at large.
29 Apr 2025
- Job seekers tell senators they paid between Sh15,000 and Sh55,000 to secure non-existent jobs abroad.
29 Apr 2025
- Is Kenya losing its economic power to EAC neighbours?
29 Apr 2025
- How Kenyans lost millions in CS Mutua's overseas jobs deal
29 Apr 2025
- Echoes of Mtongwe ferry tragedy: Survivors' three decades quest for justice
29 Apr 2025
- Lower inflation ups consumer spending in first quarter of 2025