- 262 views
Kiwango cha misitu katika kaunti ya kwale kingali chini sana licha ya juhudi zilizowekwa za upanzi wa miti. Mhifadhi mkuu wa misitu eneo la Pwani James Mburu amesema Kwale ina asilimia 5.7 ya misitu ambayo iko chini ikilinganishwa na idadi inayolengwa ya asimilimia 30. Akizungumza kwenye zoezi la upandaji mikoko eneo la Mwazaro kaunti ya Kwale, Mburu amewataka wakaazi kuzidisha juhudi za ukuzaji wa miti hususan ile ya matunda ili pia kuongeza utoshelevu wa chakula.
Upanzi wa miti Kwale
- - Duniani Leo ››
- 31 Mar 2025 - Sudanese army chief Abdel Fattah al-Burhan ruled out any reconciliation with the paramilitary Rapid Support Forces in a video statement on Saturday in which he vowed to crush the group.
- 31 Mar 2025 - Duale was appointed to the position by President William Ruto in his latest reshuffle.
- 31 Mar 2025 - The remarks have attracted criticism from several institutions across the country.
- 31 Mar 2025 - ‘Ruto Must Go’ chants have become common in stadiums, clubs and social events.
- 31 Mar 2025 - The mining CS said representation is critical for the peace of the country.
- 31 Mar 2025 - The five-day weather forecast shows isolated heavy rainfall events are likely to occur.
- 31 Mar 2025 - European leaders had worried that Trump was cosying up to Putin as negotiations on a ceasefire in Ukraine continued.
- 31 Mar 2025 - Concern as iconic grey crested cranes fade from Lake Victoria
- 31 Mar 2025 - Health strategy gives Makueni's malnourished fighting chance
- 31 Mar 2025 - Trump calls out Putin and Zelensky over ceasefire talks