- 41 views
Aliyekuwa naibu msajili mkuu wa idara ya mahakama Francis Kakai Kissinger ameliambia jopo linalowahoji watahiniwa wa nyadhifa mbalimbali katika tume ya IEBC kwamba alisimamishwa kazi na mahakama kwa kuidhinisha uchunguzi wa kesi ya sakata ya ufisadi ya shilingi milioni 300 mnamo mwaka 2015. Kissinger aliyekuwa miongoni mwa wawaniaji wanne waliohojiwa leo, alikanusha kuhusika na kesi hiyo ambapo ilipendekezwa afunguliwe mashtaka akiwa pamoja na aliyekuwa msajili mkuu wa idara ya mahakama wakati huo Gladys Boss Shollei kuhusiana na ununuzi wenye utata wa jumba la kifahari mtaani Runda la aliyekuwa jaji mkuu wakati huo. Abdiaziz Hashim ana maelezo ya kina kuhusu mahojiano hayo ya wadhifa wa uenyekiti wa tume hiyo ya uchaguzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Usaili wa mwenyekiti wa IEBC waingia siku ya pili
- 27 Mar 2025 - Congressional Republicans on Wednesday took aim at federal funding for US public media, including radio network NPR and broadcast channel PBS, accusing them of "brainwashing the American people" during a hearing.
- 27 Mar 2025 - Former Brazilian President Jair Bolsonaro will stand trial for allegedly conspiring to overthrow the government after he lost a 2022 election, the Supreme Court ruled on Wednesday, moving swiftly in a case that could reshape the political landscape.
- 27 Mar 2025 - President William Ruto’s nominees for Principal Secretary (PS) positions will undergo approval hearings on Friday, April 4, 2025, and Monday, April 7, 2025.
- 27 Mar 2025 - Nakuru deputy Governor David Kones has told off a section of Kenyans questioning the absence of Nakuru Governor Susan Kihika.
- 27 Mar 2025 - The Sudanese army drove its rival Rapid Support Forces from most of Khartoum city, residents said on Wednesday, as the army chief toured the presidential palace and airport.
- 27 Mar 2025 - Today, however, Bangladesh finds itself at a critical juncture. The legacy of its hard-fought independence is under threat, as the security situation deteriorates. Crimes such as theft, robbery, and sexual violence are rising alarmingly, particularly in…
- 27 Mar 2025 - NAIROBI, Kenya March 27 – The Judiciary has cautioned against public discussions on the ongoing legal battle between Dari Limited and the East African Development Bank (EADB), urging all parties to allow the courts to handle the matter. In a statement,…
- 27 Mar 2025 - Police said the gang also shot and injured a second victim in the March 26 morning incident.
- 27 Mar 2025 - In his notification, Wetang’ula emphasised that the approval process would adhere strictly to the Public Appointments (Parliamentary Approval) Act, Cap. 7F, and the resolution passed by the House on February 13, which empowers the Speaker to process…
- 27 Mar 2025 - Wheel of justice; courts stories lined up for today