- 13 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- - Financial inclusion ››
- - Regulating SACCOs ››
- 22 Mar 2025 - Counter-terror police on Friday launched a probe into an electricity substation fire that shut down Heathrow airport causing travel chaos for passengers around the world and the cancellation or diversion of hundreds of flights from Europe's busiest air…
- 22 Mar 2025 - Russia pounded Ukraine's Black Sea city of Odesa with one of its biggest drone attacks, injuring three teenagers, damaging residential and commercial buildings, and sparking fires across the city, officials said on Friday.
- 22 Mar 2025 - India's Adani Energy Solutions (ADAI.NS), the power transmission arm of billionaire Gautam Adani's Adani Group, has won a Ksh.42 billion ($325 million) project in the western state of Gujarat, it said on Friday.
- 22 Mar 2025 - Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing'Oei has confirmed that a Kenyan team from Bangkok has secured travel Visas and made it to Hoi Chin Mihn Prison in Vietnam where Margaret Nduta, the Kenyan woman condemned to death for drug trafficking, is…
- 21 Mar 2025 - Lecturers at Moi University have issued a seven-day strike notice over delayed salaries, setting the stage for a potential disruption of academic activities at the institution.
- 21 Mar 2025 - Thika Law Courts Chief Magistrate Stella Atambo has moved to court seeking to compel EACC to release her official phone, which was confiscated in what she describes as an unlawful action that has crippled the court’s operations.
- 21 Mar 2025 - The Kenya Youth Organisation (KYO) has expressed reservations about Charles Nyachae's suitability to chair the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 21 Mar 2025 - A Chief has been shot dead in Chipilat, Tiaty Constituency, Baringo County, while on a mission to recover stolen livestock.
- 21 Mar 2025 - Meru Governor Isaac Mutuma M'Ethingia has nominated lawyer Linda Kiome to become the new Deputy Governor.
- 21 Mar 2025 - Kisiang'ani said the media is vital for public advocacy and cultural heritage