- 2,131 views
Huenda hatua ya Rais William Ruto kutomteua aliyekuwa waziri wa jinsia aisha jumwa, kwenye baraza lake jipya la mawaziri ikaathiri pakubwa umaarufu wa chama cha uda katika kaunti ya kilifi. baadhi ya wanachama wa uda huko Kilifi, sasa wanahisi kwamba ruto ameenda kinyume na matarajio yao ya jumwa kujumuishwa kikamilifu kwenye nafasi kuu za uongozi wa serikali ya kenya kwanza licha ya kuwa mstari wa mbele kupeperusha bendera ya uda kaunti hiyo. kama anavyotueleza mwanahabari wetu wa mombasa fatuma bugu , wamekiri kuwa hakuna uda Kilifi bila Aisha Jumwa katika baraza jipya la mawaziri .
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Viongozi wa UDA wamkosoa Rais Ruto kwa kumtenga Aisha Jumwa kutoka kwa baraza jipya la mawaziri
- - Duniani Leo ››
- 18 Oct 2024 - The bald truth: Of Millie's candid and shocking take on women's challenges and choices in Parliament, and the wig that hides Kenya's struggle
- 18 Oct 2024 - The exercise was thrown into disarray for hours after the former Mathira MP suddenly fell ill.
- 18 Oct 2024 - The Kenya women’s U17 Soccer team,Junior Starlets went down 0-2 to England in their opening group C match of the ongoing FIFA U17 Women’s World Cup in Dominican Republic. England eager to stamp their authority in the game, controlled proceedings from…
- 18 Oct 2024 - The Senate has resolved to impeach Deputy President Rigathi Gachagua following a two-day exercise that entailed volumes of evidence and hours of cross-examination.
- 18 Oct 2024 - The World Bank will unveil plans to tackle job creation, gender disparities, and food security at next week's gathering of the world's finance ministers and central bankers in Washington, its president said in an interview. The World Bank also plans to…
- 18 Oct 2024 - World Bank chief says lender's climate goals likely safe under Trump
- 18 Oct 2024 - Nominated Senator Karen Nyamu has now shifted some semblance of blame to President William Ruto for choosing Rigathi Gachagua as his preferred deputy in the run-up to the 2022 elections.
- 18 Oct 2024 - Prof Kindiki’s bid has been strengthened by the recent opinion polls by Infotrak and Tifa.
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…