- 53 views
Vituo vya afya vya kidini nchini vimeipa serikali siku 14 kulipa madeni ya nhif na kukamilisha malipo ya huduma zinzotolewa chini ya mamlaka ya afya ya jamii,SHA. Iwapo serikali haitatimiza hilo,huduma chini ya sha zitasitishwa katika vituo hivyo. Taasisi hizo zinasema zimelemewa kifedha kutokana na madeni ambayo bado hayajalipwa.wakati huo huo, chama cha hospitali za kibinafsi za miji na vijijini (RUPHA) kimeondoa marufuku ya huduma za sha katika hospitali zake. Hatua hii inafuatia ahadi ya Rais William Ruto ya kulipa madeni yote ya nhif chini ya shilingi milioni kumi .
Vituo vya afya vya kidini vyaitaka serikali kulipa madeni ya NHIF ndani ya siku 14
- 22 Apr 2025 - Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
- 22 Apr 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
- 22 Apr 2025 - Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
- 22 Apr 2025 - The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
- 22 Apr 2025 - Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
- 22 Apr 2025 - Health Cabinet Secretary Hon. Aden Duale has issued a strong warning to the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) regarding the licensing of unqualified and non-compliant medical facilities. He stressed that any compliance or…
- 22 Apr 2025 - The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
- 22 Apr 2025 - Hanifa is among those who have landed roles at NMG
- 22 Apr 2025 - According to the Daily System Operation and Dispatch Analysis Report, last week, geothermal power plants contributed the highest in the generation mix.
- 22 Apr 2025 - The amendment has been the subject of controversy since last year.