- 179 viewsWaandamanaji walikusanyika karibu na ubalozi wa Israel huko Amman, Jordan leo Ijumaa kuwaunga mkono Wapalestina huko Gaza. Takriban watu 250 walionekana kwenye maandamano hayo, wakibeba mabango na kuimba nyimbo. Katika siku za hivi karibuni, Israel imetoa amri kadhaa zaidi za wakazi wa Gaza kuondoka tangu kuanza kwa vita vya miezi 10, na kusababisha malalamiko kutoka kwa Wapalestina, Umoja wa Mataifa na maafisa wa misaada juu ya kusitishwa kwa misaada ya biandamu kufikia maeneo ya kibinadamu na kutokuwepo kwa maeneo salama. Shambulizi la hivi punde katika mzozo wa miongo kadhaa kati ya Israel na Palestina ulichochewa Oktoba 7 wakati kundi la Palestina la Hamas liliposhambulia Israel, na kuua 1,200 na kuchukua mateka wapatao 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israel. Mashambulio yaliyofuata ya Israel dhidi ya eneo linalotawaliwa na Hamas tangu wakati huo yameua zaidi ya Wapalestina 40,000, kwa mujibu wa wizara ya afya ya eneo hilo, huku pia ikiwafukuza karibu watu wote milioni 2.3, na kusababisha baa la njaa na kusababisha madai ya mauaji ya kimbari katika Mahakama ya Dunia ambayo Israel inakanusha. - Reuters #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
Waandamanaji walaani mauaji yanayoendelea Gaza mbele ya Ubalozi wa Israel Amman
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
- 22 Apr 2025 - Tusker surge ahead of Police and Gor Mahia as title race heats up
- 22 Apr 2025 - Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
- 22 Apr 2025 - Ruto takes Kenya's wishlist to Beijing as trade winds shift
- 22 Apr 2025 - MPs failed women by approving Cheptumo's nomination as CS
- 22 Apr 2025 - Tanzania firm presses on with Kilifi gas plant amid safety fears