- 258 viewsKatika eneo linalopambana na changamoto za afya na kukumbwa na vita, waandishi wa kubaini habari za uongo katika jarida la Eleza ukweli mjini Goma, DRC, wanatafuta habari za ukweli kuhusu fikra zinazoambatana na ugonjwa mpox ambao awali ulikuwa unajulikana kama ugonjwa kutoka kwa nyani. Habari za uongo zinasema kwamba ugonjwa huo haupo kabisa na kwamba yanayosemwa ni upele tu ambao hauna madhara. Aline Kataliko anasema kazi yao ni muhimu sana kwa afya ya umma na katika kujenga imani katika jamii. Aline Kataliko wa Eleza Fact: 'Kuna uvumi kuhusu mpox, unaosema kwamba lengo la chanjo ni kuondoa kizazi cha raia wa Congo. Tunaangazia hatari za uvumi huo na namna unavyoweza kuathiri jamii yote kwa jumla na kuzuia juhudi za kumaliza maambukizi." Tangu mwaka 2021, waandishi wa habari 25 katika jarida la Eleza ukweli, akiwemo Joel Alimasi Kitambala, wamekuwa wakiangazia na kueneza habari kuhusu hatari za habari potofu. Joel Alimasi Kitambala ni mwandishi wa habari katika Eleza Ukweli. Joel Alimasi Kitambala wa Eleza Fact: Kutambua ukweli, tunatumia maneno muhimu na kila wakati kuna chapisho ambalo lina maneno hayo, tunapata taarifa kuhusu chapisho hilo. Kama kuna hja ya kuchambua jarida hilo, waandishi wa kutafuta ukweli wanapewa jukumu wanaolifanyia kazi. Makala yanayochapishwa na Eleza ukweli, yanachapishwa kwenye wavuti, na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kutangazwa kwenye vituo vya radio ili kuwafikia wale wasiotumia internet. #habaripotofu #drc #goma #waandishi #voa #voaswahili
Waandishi wakabiliana na habari potofu kuhusu chanjo kuondoa kizazi na athari kwa jamii
- 17 Apr 2025 - President William Ruto has advised new Cabinet Secretaries and Principal Secretaries to focus on service delivery to Kenyans and not the sideshows that usually come with high office.
- 17 Apr 2025 - President William Ruto is set for a State Visit to China from April 22 to April 26, 2025.
- » Men posing as women offering ‘relaxing massage’ arrested for robbing client Ksh.280K during session17 Apr 2025 - Two men who were posing as female masseuses are being held in police custody after they were accused of robbing a client Ksh.280,000 during a massage session.
- 17 Apr 2025 - Recently, KDF officers were deployed to help with a demolition in Mombasa.
- 17 Apr 2025 - The shilling has remained below Ksh130 since mid last year.
- 17 Apr 2025 - The government has already deployed security officials to the home area.
- 17 Apr 2025 - The High Court in Eldoret has ordered the National Land Commission (NLC) to pay the Tom Ojienda and Associates law firm Ksh.9.3 million accrued legal fees after failing to compensate the firm for its services.
- 17 Apr 2025 - A touch to the neck and waist, a pat on the back, all while overseeing cash balances at the tellers. Innocent in task, perhaps. But not in contact.
- 17 Apr 2025 - The Secretary General KNUN Seth Panyako, has launched a scathing attack on the country's devolved health system, saying it has failed to deliver quality healthcare
- 17 Apr 2025 - In the lawsuit, California officials will argue that the law Trump cited does not grant him the ability to unilaterally adopt those tariffs.