WAHAMIAJI NANE WAFARIKI WAKIJARIBU KUELEKEA UINGEREZA
Wahamiaji nane wamekufa Jumapili wakati boti yao iliyokuwa imejaa watu zaidi ya uwezo wake kuzama ikijaribu kuvuka bahari ya English Channel kutoka Ufaransa kuelekea Uingereza maafisa wa usalama wa Ufaransa wamesema. Ajali hii imetokea chini ya wiki mbili baada ya maafa mabaya zaidi kama hayo kutokea mwaka huu.
Tukio hilo baya linamaanisha idadi ya waliofariki kutaka kuelekea Uingereza kutoka Ufaransa imeongezeka kufikia wahamiaji 46 kutoka 12 waliofariki mwaka 2023, ambao wamepoteza maisha yao wakijaribu kuingia Uingereza kutoka Ufaransa, afisa wa jimbo amesema.
Serikali za Ufaransa na Uingereza zimepambana kwa miaka kadhaa kusitisha wimbi la wahamiaji ambao wanalipa wasafirishaji haramu maelfu ya Euro kila mtu kwa ajili ya kuvuka kwa boti zilizojaa watu kupita kiasi. Watu sita walionusurika wamelazwa hospitali akiwemo mtoto wa miezi 10 mwenye matatizo ya afya kutokana na baridi kali. - AFP
#wahamiaji #uingereza #englishchannel #bahari #ufaransa #ajali #boti #voa #voaswahili
18 Sep 2024
- The Moi University Vice Chancellor was thoroughly grilled by a committee on Wednesday.
18 Sep 2024
- The sudden slip comes amidst predictions that the local unit would strengthen.
18 Sep 2024
- President Ruto has encouraged Kenyans to seize opportunities he has been seeking abroad.
19 Sep 2024
- Gisele Pelicot, who was drugged and raped by dozens of men recruited by her husband, on Wednesday called the men standing trial "degenerates" while attempts from some defence lawyers to question her credibility caused outrage in the courtroom.
19 Sep 2024
- Volunteers and emergency personnel raced to secure river banks and buildings in Poland and Hungary on Tuesday as flood waters that have wreaked havoc across central Europe began to rise in new areas and the Czech Republic reported another death.
19 Sep 2024
- The mass pager attack against Hezbollah in Lebanon has turned the spotlight on Israel's secretive Unit 8200, the Israel Defense Forces' intelligence unit, which a Western security source said was involved in planning the operation.
19 Sep 2024
- Twenty-one bodies of the pupils who died in the tragic Hillside Endarasha Academy fire have been positively identified through a DNA matching profile conducted by the government chemist.
19 Sep 2024
- The Court of Appeal could on Friday make or break all the efforts by the Ministry of Health in the rollout of the new medical insurance scheme.
19 Sep 2024
- How container cash deposits are creating a problem for Kenyan traders
19 Sep 2024
- Adani denies claim that it will run JKIA for 30 years
19 Sep 2024
- Ford Kenya won't fold, to remain in ruling alliance, party leaders say
19 Sep 2024
- MPs probe Moi University's Sh3b bank loan to buy Rivatex
19 Sep 2024
- Real estate posts high productivity as challenges hit wholesale, retail sectors