- 320 views
Wakazi wa kipande cha ardhi cha mtwapa 001 eneo la mtepeni walifanya maandamano kulalamimka kuhangaishwa na mabwenyenye na maafisa wa polisi kwenye ardhi wanayodai ni ya mababu zao. Wakazi hao waliwasha moto na kudai kuwa mbunge wa kilifi kusini ken chonga na msaidizi wake victor katana wamekuwa wakiwafurusha kutoka shamba hilo. Hata hivyo wawili hao wamekana madai hayo huku kamishna wa polisi victor kamondei akisema wapo walaghai wanaovamia mashamba na kutatiza amani kaunti ya kilifi
Wakaazi wa Mtwapa 001 walalamikia mabwenyenye wananyemelea ardhi yao
- - Duniani Leo ››
- 25 Oct 2024 - Cabinet Secretary for Public Service and Human Capital Development Justin Muturi has called on Kenyans to collect their identification documents, as thousands remain unclaimed nationwide.
- 25 Oct 2024 - Las Vegas may be America's playground but for those who live and work in Sin City, high costs make life difficult, and that single issue will be decisive when they vote for a new US president in November. - Unemployment - Las Vegas came to a complete…
- 25 Oct 2024 - Detectives have recovered a motor vehicle believed to have been used in the abduction and subsequent murder of three family members who went missing from Eastleigh before their bodies were found.
- 25 Oct 2024 - CUEA celebrates a legacy of faith, knowledge and service
- 25 Oct 2024 - End of high-stakes KCPE as 1.3m begin Grade Six assessment tests
- 25 Oct 2024 - Family of murdered Wells Fargo HR manager demands justice
- 25 Oct 2024 - Suspect confesses to killing four women, pleads for mercy
- 25 Oct 2024 - Data privacy concerns as KRA targets mobile phones in new tax push
- 25 Oct 2024 - Kenyans drink dirty water due to poor management, study says
- 25 Oct 2024 - The three-judge bench hearing the case challenging the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President is expected to rule on Friday whether to grant or dismiss Gachagua’s application requesting the judges to disqualify themselves from the case.