- 73 views
Wakazi wa wadi ya Angurai Mashariki katika eneo bunge la Teso Kaskazini kaunti ya Busia wameitaka serikali ya kaunti ya Busia kuharakisha uzinduzi wa mradi wa maji wa kolanya ili kuwawezesha kupata bidhaa hiyo muhimu. Mradi huo wa maji ulioko katika shule ya upili ya kitaifa ya wasichana ya kolanya na uliogharimu shilingi milioni 25, unanuiwa kunufaisha familia zaidi ya 2,500 mbali na taasisi tano za elimu katika sehemu hiyo...gavana wa busia paul otuoma ameeleza kuwa wamegeukia matumizi ya mitambo ya sola inayotumia miale ya jua kusambaza maji ili kupunguza gharama ya nguvu za umeme, akiwataka wakazi kuwa na subira.
Wakazi wa Angurai huko Teso Kaskazini wakosa maji
- - DEFIANT RUTO ››
- 16 Apr 2025 - The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
- 16 Apr 2025 - The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
- 16 Apr 2025 - President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
- 16 Apr 2025 - Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
- 16 Apr 2025 - With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
- 16 Apr 2025 - Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights
- 16 Apr 2025 - The National Assembly has approved the nomination of Stephen Isaboke as Principal Secretary for Broadcasting and Telecommunications but recommended that he be reassigned to a different state department due to potential conflict of interest stemming from…
- 16 Apr 2025 - President William Ruto has berated former Kakamega Senator Cleophas Malala, the playwright behind Butere Girls' play Echoes of War, citing that his administration will protect the children from negative antics at all costs.
- 16 Apr 2025 - Shifting travel dates to off-peak periods can lead to substantial savings on both airfares and accommodations. Even high-demand destinations like Dubai, Zanzibar, or London become far more affordable — and less crowded — outside peak holiday seasons.
- 16 Apr 2025 - He issued a stern warning while hosting the winners of 2025 drama and film festival.