- 1,634 views
Baadhi ya wakazi wa maeneo ya Majengo na Pumwani jijini Nairobi waliandamana asubuhi kufuatia kuuawa kwa risasi kwa kijana wa miaka 17 katika operesheni ya polisi. Vijana wawili walifariki ikiwemo kijana wa miaka 17 ambaye alipigwa risasi kichwani huku mwingine kupigwa risasi mguuni na kufariki baada ya kufikishwa hospitalini. Maandamano hayo yalivuruga biashara baada ya magari mawili ya polisi kuchomwa na barabara kufungwa. Hii imepelekea kifo cha kijana mmoja katika vuta nikuvute hiyo ikijumuisha idadi ya vijana watatu kufariki. Hata hivyo familia ya marehemu imelilia haki ya mwanao Ibrahim Chege katika makafani ya hospitali ya kenyatta hii leo.
Wakazi wa maeneo ya Majengo na Pumwani waandamana baada ya kijana wa miaka 17 kuawa
- 22 Apr 2025 - Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
- 22 Apr 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
- 22 Apr 2025 - Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
- 22 Apr 2025 - The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
- 22 Apr 2025 - Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
- 22 Apr 2025 - Health Cabinet Secretary Hon. Aden Duale has issued a strong warning to the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) regarding the licensing of unqualified and non-compliant medical facilities. He stressed that any compliance or…
- 22 Apr 2025 - The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
- 22 Apr 2025 - Hanifa is among those who have landed roles at NMG
- 22 Apr 2025 - According to the Daily System Operation and Dispatch Analysis Report, last week, geothermal power plants contributed the highest in the generation mix.
- 22 Apr 2025 - In its weather outlook for April 22 to 28, the department also warned of isolated heavy rainfall in specific regions.