Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wengi wangali masikini licha ya kuwepo madini West Pokot

  • | Citizen TV
    302 views
    Duration: 1:37
    Licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa madini, wakazi wengi wa Kaunti ya West Pokot bado wanaishi katika umasikini mkubwa. Hali ya kusikitisha ambayo wakazi wanaieleza kuwa imesababishwa na miaka mingi ya unyonyaji unaofanywa na madalali wenye ushawishi pamoja na ukosefu wa manufaa ya moja kwa moja kutoka kwa rasilimali zao za asili.