- 7 views
wadau wa elimu katika kaunti ya Migori wamefadhaishwa na kudorora kwa muundo mbinu katika shile nyingi za eneo hilo wakitoa wito wa ushirikiano baina ya serikali na sekta ya kibinafsi ili kuboresha taasisi za elimu. Wakiongea wakati wakfu wa safaricom ulipokabidhi madarasa 12 na maabara kwa wasimamizi wa shule ya msingi ya Komolo Rume, wadau hao waligusia umuhimu wa dharura wa kustawisha muundo mbinu katika shule nyingi za humu nchini. Mradi huo uliogharimu shilingi milioni 40 ni sehemu ya juhudi za wakfu huo za kuinua viwango vya elimu humu nchini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakfu wa Safaricom wajenga madarasa Migori
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 28 Feb 2025 - The graduation ceremony at Northwestern Christian University in Mombasa County came to an abrupt halt when investigative officers stormed the venue, shutting it down over allegations of operating without registration and issuing fake degree certificates.
- 28 Feb 2025 - Deputy President Kithure Kindiki is asking Mt. Kenya residents to ignore his impeached predecessor, Rigathi Gachagua.
- 28 Feb 2025 - Mt Kenya East region will reap handsomely from President William Ruto’s administration, with many development projects worth billions of shillings set for completion and others earmarked for commencement.
- 28 Feb 2025 - Last week an inferno broke out at the JKIA
- 28 Feb 2025 - In the first two months of the year, Kenya has recorded 180 forest fire incidents, burning approximately 1,358 hectares of vegetation in gazetted forests across the Mau (Maasai Mau), North Rift, Coast, Central Highlands (Mt. Kenya and Aberdares), and…
- 28 Feb 2025 - The United States has never had an official language.
- 28 Feb 2025 - The 161 traders counted losses after fire razed their stalls mid February
- 28 Feb 2025 - They shared a cake among themselves, talked, and danced to tunes
- 28 Feb 2025 - Nobody has claimed responsibility for the attack, which came ahead of the holy month of Ramadan