Wakimbizi wa DRC wanaovuka mto hatari kwenda Burundi
Zaidi ya watu elfu hamsini wameyakimbia makazi yao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuwa wakimbizi katika nchi jirani ya Burundi, wakihatarisha maisha yao kwa kuvuka mto Rusizi kwa kuogelea. Zaidi ya watu ishirini wamefariki dunia wakijaribu kuuvuka mto huo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita. Wale ambao wamefanikiwa kuvuka wanasema kama wangeendelea kusalia DRC, wangelazimishwa kujiunga na kundi la waasi la M23 - madai ambayo BBC haijathibitisha. Lakini huku M23 ikiendelea kuteka maeneo zaidi mashariki mwa Congo, kuna hofu kuwa wakimbizi hawako salama hata katika nchi jirani ya Burundi.
28 Feb 2025
- Last week an inferno broke out at the JKIA
28 Feb 2025
- The university has previously grabbed headlines over its dubious conduct.
28 Feb 2025
- The ruling comes after the Salaries and Remuneration Commission's powers were challenged in court.
1 Mar 2025
- President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
1 Mar 2025
- Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
1 Mar 2025
- Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
1 Mar 2025
- Recurring audit queries expose MPs as weak link in public funds control
1 Mar 2025
- ODM turns 20 as opinion split on path to power after myriad deals
1 Mar 2025
- How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
1 Mar 2025
- How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
1 Mar 2025
- Lessons from protests seeking release of Besigye
1 Mar 2025
- Raila leaves supporters guessing yet again
1 Mar 2025
- Looming danger as residents live on petrol pipes