Zaidi ya watu elfu hamsini wameyakimbia makazi yao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuwa wakimbizi katika nchi jirani ya Burundi, wakihatarisha maisha yao kwa kuvuka mto Rusizi kwa kuogelea. Zaidi ya watu ishirini wamefariki dunia wakijaribu kuuvuka mto huo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita. Wale ambao wamefanikiwa kuvuka wanasema kama wangeendelea kusalia DRC, wangelazimishwa kujiunga na kundi la waasi la M23 - madai ambayo BBC haijathibitisha. Lakini huku M23 ikiendelea kuteka maeneo zaidi mashariki mwa Congo, kuna hofu kuwa wakimbizi hawako salama hata katika nchi jirani ya Burundi.
2 Apr 2025
- A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
2 Apr 2025
- Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.