- 1,232 views
Kinara wa DAP Kenya, Eugene Wamalwa, amekashifu matamshi ya Rais William Ruto ya hapo jana ambapo rais alisema viongozi wa upinzani ni matepeli, akisema matamshi hayo hayafai kutolewa na mtu mwenye hadhi ya Rais. Wamalwa amesema kuwa upinzani utaendelea kumkosoa rais na serikali ili iwajibike ipasavyo.Akizungumza katika eneo la Kapsitwet huko Kitale, kwenye mazishi ya Matthew Wandati, mwanafunzi wa Chuo cha Strathmore aliyepatikana ameuawa, wamalwa amesema kuwa upinzani utaendelea kuwakumbusha wananchi kuhusu athari za sera zinazotekelezwa na serikali na kuhakikisha kuwa maslahi ya Wakenya yanafanywa kipaumbele.
Wamalwa: Tutazidi kukosoa serikali
- 2 Mar 2025 - Two weeks after a fire ravaged part of the Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi National Park, Mount Elgon Forest, Aberdare, Tsavo, and Ruma in Homa Bay County are the latest casualties of wildfires.
- 2 Mar 2025 - Anxiety has gripped three villages in South Mugirango following the outbreak of an unknown disease.
- 2 Mar 2025 - Democratic Action Party-Kenya leader, Eugene Wamalwa, has criticised President William Ruto for referring to leaders who oppose him as "Frauds," saying such remarks undermine the office of the president.
- 2 Mar 2025 - President William Ruto has defended his newfound alliance with Orange Democratic Movement (ODM) Party leader Raila Odinga and told off leaders opposing attempts to unite Kenyans.
- 1 Mar 2025 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has fired salvos at a section of the clergy for voicing their concerns on political matters.
- 1 Mar 2025 - Ripple Effect Kenya, in partnership with Brooke East Africa through the Thriving with Donkeys project in Homa Bay, has rescued 50 donkeys that were once victims of illegal slaughter.
- 1 Mar 2025 - Rai Derby: Kabras Sugar too sweet for Menengai Oilers
- 1 Mar 2025 - 210 Nairobi National Park acres destroyed in wildfires
- 1 Mar 2025 - Rangers ease relegation worries as they dent KCB's title dream
- 1 Mar 2025 - Football Kenya Federation has revealed it will unveil the new Harambee Stars head coach on Monday, March 3, 2025. The new head coach will replace Engin Firat, who left his position by way of resignation after Kenya failed to qualify for the 2025 Africa…