- 1,707 views
Wafanyabiashara kaunti ya Machakos wanakadiria hasara baada ya waandamanaji kuvamia biashara zao wakati wa maandamano ya jumanne. Wamiliki wa baa, Migahawa na Biashara zingine eneo la Mlolongo wameelezea masaibu waliyopitia mikononi mwa wahuni kwenye maandamano hayo. Hata hivyo, kamanda wa polisi wa Machakos Patrick Lobolia amekashifu uhalifu huo na kusema kwamba kuna wahuni waliosafirishwa kutoka sehemu zingine na kuletwa katika kaunti hiyo kutekeleza unyama. Amawataka wakazi kuwa makini na kufanya maandamano ya amani kwa kuzingatia sheria za kenya. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wamiliki wa baa, mikahawa na biashara Mlolongo waeleze masaibu waliyopitia mikononi mwa maandamanoji
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- 5 Oct 2024 - Police in Uganda are investigating a double tragedy involving a 38-year soldier who shot and killed a 41-year-old Indian manager before turning the gun on himself over minimal pay.
- 5 Oct 2024 - Chief Justice Martha Koome has appointed 100 magistrates to preside over corruption and economic crimes cases in various jurisdictions across the country.
- 5 Oct 2024 - President William Ruto has made new State appointments in a bid to improve service delivery in his administration.
- 5 Oct 2024 - Patients in Machakos County will not be able to access medical services in all public health facilities this coming week after doctors and clinicians announced a strike starting from Wednesday.
- 5 Oct 2024 - Dubai-based airline Emirates has banned pagers and walkie-talkies onboard its planes following sabotage attacks in Lebanon, and extended flight cancellations for Middle East destinations due to regional escalation.
- 5 Oct 2024 - Some 530,000 migrants from Cuba, Haiti, Nicaragua and Venezuela have entered the US by air since October 2022.
- 5 Oct 2024 - This comes after Kindiki in March 2024 ordered people in the affected areas to vacate immediately.
- 5 Oct 2024 - All the talk is of an inexorable slide towards a new, pan-Middle Eastern war.
- 5 Oct 2024 - The companies will form biggest body of evidence in the ongoing impeachment proceedings to bring down the DP.
- 5 Oct 2024 - Although no country has launched a large-scale military evacuation yet, some are chartering aircraft.