- 28 views
__ Wanafunzi sita ambao waliaga dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea kyoani kaunti ya kitui wiki iliyopita wameandaliwa ibada ya mazishi leo. Mazishi hayo ya pamoja ya 6 hao yalifanyika katika uwanja wa michezo wa kyoani ambapo viongozi wengi walihudhuria na kuzifariji familia hizo.viongozi wameitaka mamlaka ya kitaifa ya barabara kuu nchini kenya kuimarisha hatua za usalama barabarani ili kuzuia visa kama hivyo siku za usoni - wakiwataka madereva kuchukua tahadhari zaidi barabarani.watoto hao sita ni wa shule ya msingi na sekondari ya kyoani, watatu walikuwa wa familia moja, wengine watatu kutoka familia jirani.
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Wanafunzi sita waliofariki katika ajali ya barabarani wafanyiwa mazishi ya pamoja leo Kitui
- 20 Sep 2024 - Mandera County has launched an ambitious afforestation program aimed at transforming its harsh semi-arid environment while providing stable income opportunities for local residents.
- 20 Sep 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has raided the residences of two senior officials of Kenya Rural Roads Authority (KeRRA) over embezzlement and irregular acquisition of multi-million properties.
- 20 Sep 2024 - President William Ruto departs tonight for the United States to participate in the 79th Session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York.
- 20 Sep 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has clapped back at Deputy President Rigathi Gachagua, warning him to keep off the city’s state of affairs.
- 20 Sep 2024 - The Global Center on Adaptation (GCA) has inaugurated 12 Black Soldier Fly (BSF) units in Mukuru, one of Nairobi’s largest informal settlements.
- 20 Sep 2024 - Business mogul S.K. Macharia has taken legal action to reclaim Directline Assurance Company, claiming it was unlawfully seized through a forged CR12 form.
- 20 Sep 2024 - Administration Police Deputy Inspector General Gilbert Masengeli can now breathe a sigh of relief after the High Court set aside both his conviction and subsequent 6-month jail sentence for contempt in a case related to the disappearance of three…
- 20 Sep 2024 - “In order to create this podcast, I had to get very comfortable with my voice,” Lupita admitted.
- 20 Sep 2024 - He explains his absence at key events.
- 20 Sep 2024 - The service will be held at Mweiga Stadium starting 8.30 am