- 132 views
Afisa Mkuu wa Benki ya Equity Dkt James Mwangi, leo ameongoza hafla ya kuwahamasisha wanafunzi waliofaidi mpango wa elimu wa benki hiyo wa Wings to Fly. Kongamano hilo lililowaleta pamoja wanafunzi 1800 wa Kidato cha Tatu na Nne kutoka sehemu mbalimbali nchini lilitoa fursa ya hamasisho zaidi kuhusu elimu. Wanafunzi kutoka maeneo ya Mashariki walikutana Machakos huku vikao sawia vikiandaliwa eneo la Pwani, Rift Valley, Magharibi na Nyanza. Vikao hivi pia viliwahamasisha wanafunzi kuhusu changamoto za ulimwengu wa kisasa, hasa kupitia teknolojia na uongozi.
Wanafunzi walionufaika na mpango wa Equity Wings to Fly wakutana
- 16 Apr 2025 - The dollar stabilised on Tuesday, edging up from a three-year low against the euro as risk sentiment improved, but also held near a six-month trough against the yen as investors worried about the impact of U.S. President Donald Trump’s trade tariffs on…
- 16 Apr 2025 - Ghana and the International Monetary Fund have reached a staff-level agreement on the fourth review of its Ksh.389 billion loan programme, the IMF said on Tuesday, which is set to unlock Ksh.49 billion upon approval by the Fund's executive board.
- 16 Apr 2025 - Pakistan last month set an early April deadline for some 800,000 Afghans carrying Afghan Citizen Cards (ACC) issued by the Pakistani authorities to leave the country, in the second phase of efforts to remove Afghans.
- 16 Apr 2025 - West Africa-focused oil and gas explorer Tullow Oil said on Tuesday it would sell its assets in Kenya to Gulf Energy Ltd for at least Ksh.15.5 billion as it works to reduce its debt.
- 16 Apr 2025 - A government-led investigation into Mediheal Hospital and Fertility Centre in Eldoret has unearthed serious gaps in the facility’s kidney transplant program, raising fresh concerns about possible organ trafficking involving foreign nationals.
- 16 Apr 2025 - Why Kenya remains a giant economics lab globally
- 16 Apr 2025 - Ruto urges rivals to brace themselves for huge battle in 2027
- 16 Apr 2025 - Flying coffins: Shame of outdated KDF planes as VIPs get priority
- 16 Apr 2025 - Crashing the party in the male dominated coffee industry
- 16 Apr 2025 - Wetangula's Ford Kenya won't fold or merge with UDA