- 6 views
Wadau katika sekta ya vyombo vya habari wameelezea wasiwasi wao kuhusiana uzambazaji wa taarifa potovu kuhusu mabadiliko ya hali ya anga,wakisema hii inachangiwa na ukosefu wa mafunzo maalum kuhusu sayansi ya hali ya anga miongoni mwa wanahabari. Wadau wanahusisha hali hii hi ya kutamausha na uwasilishaji wa taarifa zisizo za ukweli au ufafanuzi kupita kiasi maswala mazito yanayofungamana na mazingira. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya siku ya Redio ulimwenguni, katibu katika idara ya utangazaji na mawasiliano Proffesa Edward Kisiang'ani alisisitiza haja ya utekelezaji mipango maalum ya mafunzo ili kuwapa wanahabari maarifa ya jinsi ya kuandika taarifa sahihi kuhusu tabianchi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanahabari wahimizwa kutoa taarifa sahihi za mazingira
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- » Two foreigners among 4 arrested for running fake university, issuing bogus Masters and PhD degrees14 Feb 2025 - Four suspects have been arrested and arraigned for issuing irregular Master's and PhD degrees and operating a university without accreditation.
- 14 Feb 2025 - The Commission on Administrative Justice (CAJ) has asked the Director of Pensions to pay all pending 144 claims within 60 days, failure to which they will pursue means to declare him unfit to hold public office.
- 13 Feb 2025 - Kenya is staring at a condom shortage crisis following the funding freeze on United States Agency for International Development (USAID) programs.
- 13 Feb 2025 - President William Ruto and Barbados Prime Minister Mia Amor Mottley have reaffirmed their commitment to strengthening bilateral relations and advancing efforts to restore stability in Haiti.
- 13 Feb 2025 - Kenya Power said the interruption is part of network maintenance
- 13 Feb 2025 - The Southern African Development Community (SADC), comprising 16 member states, has officially urged its members to back Madagascar’s candidate in the African Union Commission (AUC) chairmanship elections set for Saturday, February 15.
- 13 Feb 2025 - Nandi Senator Samson Cherargei has strongly criticized Kenyans wishing for Raila Odinga’s failure in his bid for the chairperson position of the African Union Commission (AUC), labelling such actions as unpatriotic. Speaking in the Senate on February 13…
- 13 Feb 2025 - Semi-automated offside technology will be used in English domestic football for the first time during the fifth round of the FA Cup. On Thursday the Football Association announced that the technology will be used in the seven games taking place at…
- 13 Feb 2025 - In the judgment delivered Thursday, he has also been barred from holding public office.
- 13 Feb 2025 - Police say a driver drove into a crowd injuring at least 28 people