- 1,815 viewsGavana wa Kaunti ya Kisumu, Kenya, amejitokeza kulaani utekaji uliofanyika. Amesema wazi kuwa serikali ya kaunti haikuhusishwa. Hayo yameelezwa na Meya wa Mji wa Kampala,Elias Lukwago ambaye anasema gavana huyo pia anataka maelezo kamili kujua kwa nini wanajeshi wa Uganda waliivamia Kisumu na kuwakamata "wenzetu 33." Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Wanajeshi
- 22 Apr 2025 - Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
- 22 Apr 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
- 22 Apr 2025 - Cardinals gathered Tuesday at the Vatican to begin scheduling Pope Francis’ funeral and burial, planning the conclave to elect his successor and making other decisions about running the Catholic Church as world leaders and ordinary faithful grieved the…
- 22 Apr 2025 - The Vatican published Tuesday a photo and video of Pope Francis in his open coffin, dressed in a red robe with the papal mitre on his head and a rosary in his hand.
- 22 Apr 2025 - Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
- 22 Apr 2025 - Health Cabinet Secretary Hon. Aden Duale has issued a strong warning to the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) regarding the licensing of unqualified and non-compliant medical facilities. He stressed that any compliance or…
- 22 Apr 2025 - The KeNHA boss noted the new regulations were meant to support the Authority to deliver on its mandate.
- 22 Apr 2025 - Hanifa is among those who have landed roles at NMG
- 22 Apr 2025 - According to the Daily System Operation and Dispatch Analysis Report, last week, geothermal power plants contributed the highest in the generation mix.
- 22 Apr 2025 - The amendment has been the subject of controversy since last year.