- 8,486 viewsDarzeni ya wanajeshi wa Congo wamewekwa kizuizini huko Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini, wakati mamlaka zikijiandaa kuwafungulia mashtaka wanajeshi wasiopungua 75 kwa kukimbia jeshini na vitendo vya ghasia dhidi ya raia, ikiwemo mauaji na uporaji. Kanda ya video kwenye mtandao wa kijamii iliyothibitishwa na Reuters Jumatatu (Februari 10) iliwaonyesha watu wakiwa na mavazi ya kiraia wakiingizwa kwenye Jela Kuu huko Bukavu. Mtazamaji katika kanda hiyo ya video aliwashutumu kuwa ni wanachama wa kikundi cha Cheetahs, kitengo cha jeshi la Congo, akisema “wanavuruga amani yetu.” Kuhusishwa kwa wafungwa katika video hiyo haukuweza kuthibitishwa na vyanzo huru. Reuters imethibitisha eneo hilo ni Bukavu kwa kulinganisha kuta za jela hiyo, lango kuu, miti yenye kuizunguka na milima na picha za satellite za eneo hilo. Wakati tarehe hasa ya kutolewa kanda hiyo ya video haikuweza kuthibitishwa na vyanzo huru, ilikuwa imepakuliwa kabla ya Jumatatu siku ya kesi. Chanzo cha jumuiya ya kiraia huko Kavumu, mji ulioko kilomita 35 kaskazini mwa Bukavu, ameiambia Reuters kuwa wanajeshi waliokimbia waliwauwa watu 10, wakiwemo saba kati yao waliokuwa wameketi baa Ijumaa jioni. Ofisi ya mwendesha mahtaka ya jeshi ilisema wanajeshi hao wanakabiliwa na mashtaka ya kukimbia kutoka mstari wa mbele baada ya waasi wa M23 kuuteka mji wa Nyabibwe, ulioko kilomita 70 kaskazini mwa Bukavu. Wanatuhumiwa pia kuhusika na ubakaji, mauaji, uporaji na uasi. (Reuters). #drc #congo #m23 #reels #voa
Wanaodaiwa kukimbia jeshini wawekwa jela kabla ya kesi kusikilizwa
- - FKF League fixtres ››
- - FKF Recap ››
- 26 Apr 2025 - A shallow 6.3-magnitude earthquake left at least 20 people injured, dozens of buildings damaged and knocked out power in the Ecuadorian port city of Esmeraldas on Friday.
- 26 Apr 2025 - Gunmen have killed at least 20 people in an attack in a gold mining village in Nigeria's northwestern Zamfara state, residents and Amnesty International said.
- 26 Apr 2025 - The public viewing of Pope Francis's open coffin ended on Friday, television footage showed, after more than 150,000 worshippers had paid respects to the Argentinian pontiff during a three-day lying in state.
- 26 Apr 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has assured the country that there will be no interference with investigations into allegations of organ trafficking at Mediheal Group of Hospitals.
- 26 Apr 2025 - KCB FC will host Police FC in an FKF-Premier League duel to be played at the Sportpesa Arena in Murang’a County this Saturday.The bankers will be keen to bag three points at the weekend’s fixture following their recent poor run of form. Last weekend,…
- 26 Apr 2025 - Brussels Airport, Belgium's main international flight hub, will cancel several flights on Tuesday, while Charleroi Airport plans to suspend all departures the same day due to a nationwide strike over the new government's austerity policies.
- 26 Apr 2025 - Squatters stop government from fresh allocation at stalled scheme
- 26 Apr 2025 - Today, Pope Francis becomes only the seventh Holy Father to be laid to rest at the Papal Basilica of St Mary Major in Rome.
- 25 Apr 2025 - Developing countries should strike swift trade deals with the United States at the "earliest possible" opportunity, the president of the World Bank told AFP Friday, after a busy week with global financial leaders in Washington.
- 25 Apr 2025 - Susan Kihika returns to Kenya after months abroad