Wapalestina kati yao watoto wakishiriki maziko ya waliofariki Israel iliposhambulia
Waombolezaji walisindikiza jeneza la mtu mmoja mwenye umri wa miaka 62 ambaye aliuwawa na majeshi ya Israeli nyumbani kwake wakati mashambulizi yalipofanyika huko katika mji wa Tulkarm eneo linalokaliwa kwa mabavu huko Ukingo wa Magharibi.
Kulingana na walioshuhudia mauaji hayo, Ayed abu Hija aliuwawa na mwanajeshi wa Israeli aliyemvizia na kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake wakati mashambulizi yakiendelea.
Waombolezaji Wakipalestina pia walibeba mfano wa jeneza kwa kumuenzi Muhhamad Jabber, aliyekuwa maarufu kwa jina la Abu Shujaa, mkuu wa mitandao ya wapiganaji katika kambi jirani ya wakimbizi ya Nur Shams, ambaye aliuwawa na jeshi la Israeli Alhamisi (August 29) huko Tulkarm.
Jeshi la Israeli lilianzisha moja ya mashambulizi makubwa katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israeli kwa miezi kadhaa sasa Jumatano (August 28), na kuuwa watu 19, wakiwemo makamanda wa Hamas na Islamic Jihad.
Israel imekuwa ikitekeleza kile imekitaja kama operesheni ya kijeshi karibu kila siku katika Ukingo wa Magharibi, tangu Oktoba 7, wanamgambo wa Hamas walipofanya shambulizi kutokea Gaza na kusababisha vita vikali vinavyoendelea.
Israel imesema kwamba operesheni yake ya kijeshi ina lengo la kuwamaliza nguvu wanamgambo wa Hamas na kuzuia mashambulizi dhidi ya raia wake
- Reuters
#gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina #makanda #Islamicjihad
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
22 Apr 2025
- The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
22 Apr 2025
- Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
22 Apr 2025
- Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
22 Apr 2025
- The inconvenient truth about devolution, the environment
22 Apr 2025
- Mwangangi named SHA boss as Ingasira takes over in Finance
22 Apr 2025
- Tusker surge ahead of Police and Gor Mahia as title race heats up
22 Apr 2025
- Goodbye Pope: Pontiff hailed as moral icon and voice of the voiceless
22 Apr 2025
- Ruto takes Kenya's wishlist to Beijing as trade winds shift