- 181 views
Washikadau mbalimbali katika sekta ya Uchimbaji wa madini kutoka ukanda wa Nyanza wanatoa wito kwa serikali kuwajumuisha wachimbaji wadogo katika maswala ya sheria zinazoendesha sekta hiyo kando na njia mwafaka wa kukabili changamoto wanazokumbana nazo Wakizungumza mjini Kisumu katika hafla ya uzinduzi wa utafiti huo, wadau walitoa wito kwa serikali kuipa kipaumbele mbinu bora za kutoa leseni kwa wachimbaji madini.Aidha serikali imehimizwa kuziba mianya inayotumiwa na baadhi ya wachimbaji madini haramu ambao wanachangia kupotea kwa mamilioni ya pesa ambazo zingekusanywa kama ushuru.
Washikadau katika sekta ya uchimbaji madini wataka kujumuishwa kwenye utunzi wa sera
- 7 Oct 2024 - Agencies under the United Nations have officially unveiled the DigiKen initiative, a project aimed at supporting the development of homegrown digital platforms that can contribute to Kenya's sustainable social and economic development.
- 7 Oct 2024 - Kenyan researcher TIFA has said that 41% of Kenyans support the impeachment motion against Deputy President Rigathi Gachagua according to their recent survey.
- 7 Oct 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua is set to hold a press conference on Monday evening, hours before his impeachment motion is debated in the National Assembly.
- 7 Oct 2024 - Wajir Governor Ahmed Abdullahi has been elected as the new Chairperson of the Council of Governors (CoG).
- 7 Oct 2024 - The authority says beautification of the 31 kilometre stretch from Athi River to Westlands will be done by two contractors.
- 7 Oct 2024 - Growing up in south western part of Kenya, he knew he would become a medical doctor.
- 7 Oct 2024 - Former Kiambu Governor William Ruto has lifted the lid on circumstances under which President William Ruto picked Rigathi Gachagua as his deputy.
- 7 Oct 2024 - Shebesh is up against several other big names including former MPs for the job.
- 7 Oct 2024 - The 47 Governors of Kenya are set to elect new leadership to steer the Council of Governors for the next two years.
- 7 Oct 2024 - Family affair as LeBron, Bronny James make Lakers bow