- 56 views
Polisi katika kaunti ya Kwale wamewakamata washukiwa 120 wanaohusishwa na genge la uhalifu la Panga Boys. Washukiwa hao wamekuwa wakiwahangaisha wakazi wa Diani na wametiwa mbaroni baada ya msako mkali wa juma moja. Kwingineko,bawabu mwenye umri wa miaka 70-aliuawa na watu wasiojulikana mjini Homa Bay, tukio ambalo limeibua wasiwasi miongoni mwa wakazi. Mwendazake alishambuliwa Alfajiri ya Jumamosi kwenye jumba moja la kibiashara alipokuwa akihudumu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Washukiwa wa genge linalojihami wakamatwa Kwale
- - Duniani Leo ››
- 1 Apr 2025 - The tourism sector demonstrated remarkable resilience and growth in 2024, driven by strategic interventions such as the Electronic Travel Authorisation (ETA) system and aggressive marketing campaigns. As Kenya Airways posted positive results in its…
- 1 Apr 2025 - Fresh from a stellar 4 under par victory at the NCBA Kisii Open Shabana Trophy, amateur John Lejirma was in imperious form with a one-stroke lead in the opening round of the Sunshine Development Tour East Africa Swing’s Q-School at the Great Rift Valley…
- 1 Apr 2025 - Ex-IMF adviser: Kenya should improve safety nets for the poor
- 1 Apr 2025 - SHA accused of ignoring employee concerns on salaries, job security
- 1 Apr 2025 - How young Kenyans are enslaved in Myanmar's dark digital underworld
- 1 Apr 2025 - Mini general election awaits new-look IEBC
- 1 Apr 2025 - Ruto starts make-or-break tour of Gachagua backyard
- 1 Apr 2025 - Alarm as schools close early amid funding gaps
- 1 Apr 2025 - Why state, motorists are at odds on road tolling
- 1 Apr 2025 - "Not me", President Ruto denies initiating plan to impeach Gachagua