- 1,215 views
Washukiwa watatu wa wizi wameshtakiwa katika mahakama ya Narok kwa makosa ya wizi wa kimabavu, uharibifu wa mali na kupatikana na vifaa vya elektroniki vilivyoibwa. Wezi hao ambao waliokamatwa ijumaa iliyopita katika maeneo ya Total na Macedonia, walifikishwa mbele ya Hakimu Hezron Nyaberi na kukanusha mashtaka yote. Aidha walipatikana na mitungi ya gesi, simu za rununu na kipatakilishi, vyote hivyo vikisemekana kuwa mali ya wizi.Washukiwa watazuiliwa hadi tarehe 21 Aprili mwaka huu kesi hiyo itakaposikizwa tena. Polisi bado wanawasaka washukiwa wengine watatu waliotoweka baada ya wenzao kufumaniwa.
Washukiwa watatu washtakiwa kwa wizi wa kimabavu mjini Narok
- 16 Apr 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has called for the warring sides in Sudan to be compelled to the negotiating table to restore peace in the war-torn region.
- 16 Apr 2025 - A petition has been filed in court seeking to compel Government to settle all unpaid pending bills accrued between June 1, 2005 and June 30, 2022.
- 16 Apr 2025 - A Kiambu based civil society now wants governor Kimani Wamatangi to be arraigned in court following Tuesday interrogation by the Ethics and Anti-corruption Commission (EACC).
- 16 Apr 2025 - Two police officers have been arraigned before the Milimani Law Courts in Nairobi and charged with torture and abuse of office.
- 16 Apr 2025 - In the recent past, there have been reports of a spike in human trafficking incidents, especially involving Kenyans travelling abroad.
- - Memorial service held for late Multimedia University student Sylvia Kemunto
- 16 Apr 2025 - Two officials from the Kakamega Civil Registration Department were arrested on Tuesday for allegedly soliciting and receiving bribes from applicants seeking civil registration documents.
- 16 Apr 2025 - The plans come amid the craze around the Butere Girl's 'Echoes of War' school play.
- 16 Apr 2025 - The National Assembly’s Public Investments Committee on Governance and Education, chaired by Bumula MP Wanami Wamboka, directed the Auditor General to conduct an audit covering the period from 2013 to date and submit a report within three months.
- 16 Apr 2025 - The Treasury CS appeared before the National Assembly where he answered some pressing questions.