Skip to main content
Skip to main content

Wasimamizi wa mtihani waonywa dhidi ya udanganyifu wa mtihani wa KCSE Migori

  • | Citizen TV
    231 views
    Duration: 1:29
    Watainiwa zaidi ya 31,627 katika kaunti ya Migori wameanza mtihani wa KCSE asubuhi ya leo huku maafisa wanaosimamia mtihani huo wakieleza kuwa mikakati kabambe imewekwa kudhibiti udanganyifu......