Skip to main content
Skip to main content

Watahiniwa 21,611 wanafanya KCSE kaunti ya Nyamira

  • | Citizen TV
    267 views
    Duration: 1:37
    Mitihani ya KCSE imeanza bila tashwishi katika kaunti ya Nyamira, huku watahiniwa 21,611 wakitarajiwa kufanya mtihani huo katika vituo 195 katika kaunti hiyo.