- 237 views
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko imeongezeka hadi 76 baada ya watu sita zaidi kufariki kufuatia mafuriko katika maeneo kadhaa humu nchini. Wengine 19 bado hawajulikani waliko huku wengine 29 wakiuguza majeraha waliyoyapata kutokana na athari za mvua hiyo kubwa inayoendelea kunyesha. Haya yanajiri huku serikali ikiimarisha juhudi za kuwaokoa wale waliokwama kwenye maeneo yaliyofurika na kutoa wito kwa wale walio katika maeneo yaliyoorodheshwa kuwa yataathirika na mafuriko kuhamia sehemu salama. Timothy Kipnusu na maelezo zaidi kuhusu maafa na uharibifu uliosababishwa na mvua hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu 6 zaidi waaga dunia kutokana na mafuriko na kufikisha 76
- - Citizen TV Live ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2024 - As Japan embarks on a major military build-up, it's struggling to fill its ranks with the women that its forces need and its policymakers have pledged to recruit.
- 13 May 2024 - Gachagua calls for one man, one-shilling revenue formula
- 13 May 2024 - Fees headache, term dates uncertainty as schools reopen
- 13 May 2024 - 'My mother had to live on the streets to protect me'
- 13 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Tragedy helps showcase the expertise of those who work in various fields. Poor workmanship is widespread in recent weeks. We […]
- 13 May 2024 - The radical plan is contained in the Finance Bill 2024. KRA has in recent years stepped up the adoption of technology to snoop on tax evaders.
- 13 May 2024 - He was responding to remarks made by Embu Governor Cecily Mbarire, who said that the counties in Mt Kenya region are being given a raw deal in allocation of resources.
- 13 May 2024 - A special sitting of the House will be held this afternoon during which the Select Committee investigating the proposed dismissal of Agriculture CS Mithika Linturi will present its report. The embattled CS will know his fate when the 11-member select…
- 13 May 2024 - Reading Time: 3 minutes A plot aimed at doing away with coalition political parties could have rendered opposition chief Raila Odinga’s Azimio La Umoja […]
- 13 May 2024 - Kenya National Union of Teachers (Knut) has urged the government to first address the infrastructural challenges caused by floods.