- 5,037 views
Familia moja inaomboleza vifo vya watu saba wa familia hiyo walioangamia kwenye ajali ya barabarani katika eneo la Naivasha. walioaga ni ndugu watatu na wana wao wanne ambao walikuwa wakitoka kwenye misa ya wafu ya mjomba yao aliyeaga. haya ni huku watu wengine wawili wakifariki kwenye ajali nyingine ya barabarani katika kaunti ya mchakos. Mary Muoki na taarifa hiyo.
Watu saba wa familia moja waaga kwenye ajali ya barabara eneo la Naivasha
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 2 Apr 2025 - A video of Samuel da Silva dos Santos holding the baby girl found in a box on a street strewn with trash went viral on social media, sparking a mixture of joy and indignation in the Brazilian seaside city.
- 2 Apr 2025 - Health officials and police have scrambled to explain the mix-up, which has appalled political leaders and stoked outrage across the country.
- 2 Apr 2025 - UON has been faced with a leadership crisis and financial challenges that have threatened to cripple its operations.
- - Manslaughter Archives
- 2 Apr 2025 - Four suspects are set to take plea Wednesday at the Kibera Law Courts in Nairobi, in connection with the death of Lucy Wambui Kananu.
- 2 Apr 2025 - Earlier, Ruto claimed that his former deputy had demanded Sh10 billion to “organise” Mt Kenya politics.
- - National Police Service Commission (NPSC) Archives
- - Police Officers Archives
- 2 Apr 2025 - South Sudanese government denies Odinga's claims that First Vice President Riek Machar's wife was also under house arrest.
- 2 Apr 2025 - A private developer obtained the land’s title deed in February.