- 399 views
Watu tisa wamethibitishwa kufariki katika visa viwili tofauti vya ajali barabarani vilivyotokea katika kaunti za Kiambu na Kirinyaga. Katika tukio la kwanza,watu saba waliangamia baada ya matatu inayomilikiwa na chama cha ushirika cha Kijabe Line yenye uwezo wa kuwamudu abiria-14 kubingiria mara kadhaa katika makutano ya barabara ya Kamandura kwenye barabara kuu ya Nairobi-Nakuru baada ya dereva kupoteza mwelekeo leo asubuhi huku wengine wawili wakifariki jana usiku katika kisa cha pili baada ya gari walimokuwa wakisafiria kutumbukia kwenye mto Nyamindi katika daraja la Kaboro,eneo bunge la Gichugu,kaunti ya Kirinyaga . Mwanahabari wetu Timothy Kipnusu ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu tisa wafariki kwenye ajali barabarani
- 21 Apr 2025 - As an at-times unwitting star on social media, Pope Francis knew how to exploit the internet to preach the gospel, broadening the Church's appeal while modernising its communications.
- 21 Apr 2025 - US Defense Secretary Pete Hegseth fought back Monday -- with White House support -- against another scandal over his reported use of Signal to discuss airstrikes on Yemen, this time with his wife, brother and lawyer.
- 21 Apr 2025 - President William Ruto will visit Beijing and meet with President Xi Jinping as reciprocal trade tariffs between America and Beijing deepen, and shockwaves in the aftermath of the tariffs rip through the global markets.
- 21 Apr 2025 - Activist Boniface Mwangi says he was violently assaulted and robbed by police officers in Nairobi earlier this month.
- 21 Apr 2025 - Police in Kabarnet, Baringo County, on Monday found the body of a boda boda rider who had been missing since Thursday.
- 21 Apr 2025 - Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
- - Teachers are tired of the promotion mess, says Knut boss Collins Oyuu
- 21 Apr 2025 - Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
- 21 Apr 2025 - In the Vatican, there is shock from those who saw Francis perform his final public duty.
- 21 Apr 2025 - PS Muriuki has urged parents to monitor mobile use to ensure their children are not on gambling sites.